ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,109
- 84,996
- Thread starter
- #21,141
Huwa unaumia ukiwa wapi 😄😄
View attachment 3436219
View: https://www.instagram.com/reel/DNGrtZeIhJu/?igsh=MTBpem44c2wycjY3YQ==
Huwa unaumia ukiwa wapi 😄😄
View attachment 3436219
We jamaa bado mshamba Sana Tena Sana Yani mapaa yaliyojaa kila vijiji ndo ya kuumia leta project za maana huo ni Ushamba wako si ulizoea kuishi nyumba za tembe ko hivyo vitu kwako NI mashokolo mageniHuwa unaumia ukiwa wapi 😄😄
View attachment 3436219
Maneno ya mkosaji 😂😂We jamaa bado mshamba Sana Tena Sana Yani mapaa yaliyojaa kila vijiji ndo ya kuumia leta project za maana huo ni Ushamba wako si ulizoea kuishi nyumba za tembe ko hivyo vitu kwako NI mashokolo mageni
Soma takwimu za sensa zitakusaidia mkoa was njombe NI wa ngapi katika nyumba Bora si wezi kubaki nabishana na mtu aliyetoka nyumba za tembe ndo anashaangaa kuwa Kuna mapaa ya batiManeno ya mkosaji 😂😂
Ebu weka tuzione hizo nyumba zenyewe sasa🤣🤣🤣🤣vijumba vimejaa mkoa mzimaSoma takwimu za sensa zitakusaidia mkoa was njombe NI wa ngapi katika nyumba Bora si wezi kubaki nabishana na mtu aliyetoka nyumba za tembe ndo anashaangaa kuwa Kuna mapaa ya bati
Tumeweka mara ngapi saiz leta project mpya sio vipicha hivyohivyo vya nyumba za kijijini toka tumeanza kukufatilia project za maana hata tano hazifiki kwenye hicho Kijiji chako zaidizaidi NI Ushamba wa kupost mapaaEbu weka tuzione hizo nyumba zenyewe sasa🤣🤣🤣🤣vijumba vimejaa mkoa mzima
Endelelea kuumia hivyo hivyo na miji yako yenye kutu kila kona,👇👇umia tenaTumeweka mara ngapi saiz leta project mpya sio vipicha hivyohivyo vya nyumba za kijijini toka tumeanza kukufatilia project za maana hata tano hazifiki kwenye hicho Kijiji chako zaidizaidi NI Ushamba wa kupost mapaa
Mzee wa tembe endelea kuhangaika na mapaa si tunacheck project mpya CBD ZA MJI ZINA HITAJI NINI HUKO TULISHA HAMA KARNE ZIMEPITA TUKO HUKU SASA NI MWENDO WA KUVUNJA NYUMBA ZA MAPAA CBD NA KUPANDISHA GOROFAEndelelea kuumia hivyo hivyo na miji yako yenye kutu kila kona,👇👇umia tena
View attachment 3438505
Kwa ujenz huo hicho kitabaki kuwa Kijiji tu miaka yote hakuna barabara nyumba zipo holela some time muwe mnajifunza kwenye miji mikubwa ya jilan miji wanapangaje sio kila siku kutuletea mapaa et ndo mjiEndelelea kuumia hivyo hivyo na miji yako yenye kutu kila kona,👇👇umia tena
View attachment 3438505
Mkoa wa njombe umeamua Makambako kuwa mji wa VIWANDA na bishara ko nao unajifunza kwenye majiji yaliyopo junction yanayo kua kwa mfumo wa viwanda na biashara na jiografia zinazo endana flat land ya kutosha na si vinginevyo ndo maana kwa Sasa Kuna mabadiliko yanaendelea Kama uwekaji wa Alama ya mji round about ,ujenz wa gorofa CBD , VIWANDA NKEndelelea kuumia hivyo hivyo na miji yako yenye kutu kila kona,👇👇umia tena
View attachment 3438505
Tulikwambia hicho NI Kijiji kaa ulinganishe na miji yako ya jilanEndelelea kuumia hivyo hivyo na miji yako yenye kutu kila kona,👇👇umia tena
View attachment 3438505
Kwa kipi ikiwa hata Barabara hakuna?Kahama is far better
Nakuona unavyotapatatapa, KATORO inawaumiza na kuwanyima raha 🤣🤣🤣Tulikwambia hicho NI Kijiji kaa ulinganishe na miji yako ya jilanView attachment 3438770View attachment 3438771
Kuna nini cha maana hapo makambako zaidi ya vijumba vyenye kutu na vigorofa vitano ambavyo ni kawaida kwa maeneo mengi mpaka Kasulu huko😂😂Mkoa wa njombe umeamua Makambako kuwa mji wa VIWANDA na bishara ko nao unajifunza kwenye majiji yaliyopo junction yanayo kua kwa mfumo wa viwanda na biashara na jiografia zinazo endana flat land ya kutosha na si vinginevyo ndo maana kwa Sasa Kuna mabadiliko yanaendelea Kama uwekaji wa Alama ya mji round about ,ujenz wa gorofa CBD , VIWANDA NKView attachment 3438765lusaka zambiaView attachment 3438766ndo maana mabadiliko yanaendelea CBDView attachment 3438767View attachment 3438768View attachment 3439103