Kahama VS Njombe/Mafinga

Vitu vingi tu ukianzia miundombinu yote kahama inazidiwa ,majengo marefu nk inacho zidi kahama kwa njombe NI kuzaliana basi
Majengo marefu yapi hapo Njombe? Kuna hata ghorofa iko na floor 10+?
Kwa maghorofa mazuri na Makubwa Njombe ikae pembeni naijua vizuri mno
 
Sasa dry port ni kitu kigeni hicho? Isaka ni Dry port na hatulizingumzii πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜„ punguzeni ushamba
Ko ndo utambue NI maeneo muhimu USHAMBA unao wewe ulianza kutuletea km zilizo jengeka kahama ndo maana tukaamua tukutoe USHAMBA kuwa Hilo Jambo saiz NI la kawada miji mingi Ina hayo mambao
 
Ngo
Majengo marefu yapi hapo Njombe? Kuna hata ghorofa iko na floor 10+?
Kwa maghorofa mazuri na Makubwa Njombe ikae pembeni naijua vizuri mno
Ngoja nikutoe Ushamba Kama si mshamba let gorofa lenye floors Tisa kahama Kama hili
 
Majengo marefu yapi hapo Njombe? Kuna hata ghorofa iko na floor 10+?
Kwa maghorofa mazuri na Makubwa Njombe ikae pembeni naijua vizuri mno
Ikae pembeni Kwa Mji ganj? Kahama au? Kwani Magorofa marefu lazima ziwe 10 floors?

Njombe ziko 6,7 floors Kahama hakuna
 
Toka mama amefungua Nchi ,gorofa zinaota kilamji sio big deal ya kujibunia saana?

Swax
 
Hata Mbeya ina magorofa mengi kuliko Iringa lakini Mbeya ni gulio tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbeya sio tuu Ina magorofa mengi kuliko Irina Bali Iko kwenye miji 6 yenye majengo au magorofa marefu mengi hapa Tanzania Kwa matokeo ya Sensa.

Iringa unayoisema haipo hata kwenye hiyo List 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…