Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Utarudia mno ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kijiji kilichochangamka
Geita iko level zingine ni kufuata nyayo za Dodoma tu ๐Ÿ’ฅ ๐Ÿ‘‡, hamuwezi fika hapa
images (25).jpeg

See the development at the background, modern city ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ
 
Utarudia mno ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kijiji kilichochangamka
Geita iko level zingine ni kufuata nyayo za Dodoma tu ๐Ÿ’ฅ ๐Ÿ‘‡, hamuwezi fika hapa
View attachment 3348142
See the development at the background, modern city ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ
Kijiji Cha wachuuz hicho hicho Kijiji linganishaga na vijiji vya huko huko usituletee Tena maana tumesha kugundua nje ya ofisi za mkoa huna Cha kupost ebu miji ya nyanda za juu iendelee kuonyesha misuli kuwa pesa IPO na watu mafinga tc
FB_IMG_17484070013555020.jpg
 
Kijiji Cha wachuuz hicho hicho Kijiji linganishaga na vijiji vya huko huko usituletee Tena maana tumesha kugundua nje ya ofisi za mkoa huna Cha kupost ebu miji ya nyanda za juu iendelee kuonyesha misuli kuwa pesa IPO na watu mafinga tcView attachment 3348311
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Vitu ambavyo hata Kasulu vipo
Swali ni Je: Mna satellite town ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿค— ๐Ÿ‘‡
Screenshot_20250523-110328 (1).png
thumb_1528_800_420_0_0_crop.jpeg
 
TAZARA DRY PORT MAKAMBAKO akianza kazi mchina hizi zinaenda kuanza kufanya kazi na ita ๏ฟผhudumia mikoa ya njombe , IRINGA,na ruvuma Kanda ya nyasa na nchi ya malawi
FB_IMG_17489155384605258.jpg
 
Moja ya barabara ambayo ikiwekwa lami itawarahisishia sana usafiri watu w mlimba na ifakara kwenda makambako na mikoa ya nyanda za juu kusini na itapunguza km
View: https://www.facebook.com/reel/694090239936915/?app=fbl
 
Ni mwendo wa VIWANDA eneo hili igawa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ MKUU WA WILAYA YA MBARALI APONGEZA UJENZI WA KIWANDA CHA PLASTIKI UNAOENDELEA MBARALI

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Kanali Maulid Hassan Surumbu siku ya leo tarehe 03.06.2025 ameambatana na Maafisa Biashara na Viwanda pamoja na Afisa Mazingira wa Wialya ya Mbarali ametembelea Mradi mkubwa wa kiwanda cha Plastiki unaeondelea kijengwa katika kata ya Lugelele kijiji cha Igomelo kitongoji cha Nyanyanjo.

" Niwashukuru sana Uongozi wa kampuni ya RJ MUSA CONSTRUCTION kwa kubuni mradi huu na kuona inafaa kuuleta nyumbani"

" Mradi huu utaenda kupunguza changamoto ya Ajira kwa vijana wetu wa Mbarali, Mkoa wa Mbeya na hata nje ya Mkoa wa Mbeya" Aliongeza Kanali Maulid

"Wilaya ya Mbarali ina miradi zaidi ya 26 kwenye Sekta ya Maji na inahitaji mabomba mengi, nina imani mtawasaidia watakapohitaji"

" Uwepo wa kiwanda hiki Mkoa wa Mbeya, utaenda kupunguza gharama kubwa zinazotumika za kuagiza mabomba nje ya Nchi au Nje ya Mkoa na Miradi itakuwa inakamilika kwa wakati" Kanali Maulid

Kiwanda hicho cha Plastiki kinajengwa katika Kata ya Lugelele na kinatarajia kukamilika Mwezi Agosti, 2025.
FB_IMG_17489579099666380.jpg
FB_IMG_17489579013214917.jpg
 
Back
Top Bottom