Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hata maduka haya yamewa shinda makambakoView attachment 3344009
Hivi Katoro vingi mno 😂😂👇
1748103502671.jpg
 
Naona umesha ishiwa vya kupost una baki unarudi ofisi hizi zipo kila sehemu hata makambako wamejengaView attachment 3344012
Angalia hayo mandhari ya mji, wewe unazani nakuonyesha jengo la office?😄😄😄 Ni swala la muda tu mtakimbia uzi huu nikizipata current pictures 😂😂, angalia mji unavyojitengeneza na sio jengo 👇💥💥
images (51).jpeg
unnamed.jpg
images (21).jpeg

Sasa nyie mnaanza kuniletea jengo moja moja lingine liko mashariki lingine kusini 😂 😂
Wekeni picha yenye mandhari zaidi ya hii 🖕🖕 Geita kama yapo kama hakuna bado miji yenu ni masankuloni
 
Mkuu tatizo hujafika Njombe lakini siku ukifika utaamini kwa wenye takwimu wanaiweka Njombe juu kila kona.Njombe hadi vijijini ndani huko unakutana makazi mengi ya kisasa,majengo ya ghorofa nakili kuwa kanisa pia hususani wabenedictini walisaidia kushape na kutawanya maendeleo kupitia parokia za kanisa katoliki lakini pia kilimo ndio backbone yetu na kimefanya uchumi kukua kwa kasi kubwa
Sijafika ndio maana nataka muweke vitu humu nione, ukiweka picha kubwa inayoonyesha mji kwa upana kila mtu anaona, sasa una post kwa kuokoteza jengo moja moja unategemea nitakuelewa 🤔🤔
Fanya kama hivi kila mtu aione Njombe ilivyo na aione makambako ilivyo na sio kunilazimisha niamini 👇👇
Screenshot_20250523-110419 (1).png
 
Technically wewe ni kilaza kabisa, nimepost picha ikionyesha namna mji unavyotenezewa mandhari ya kisasa na ya kuvutia, kwa akili yako fupi unaona nimepost kukuonyesha jengo la halmashauri 😢🤔
Sasa una post jengo moja la nini, post surrounding za hiyo office yako sasa at least cover hata 500m square tuone hayo mandhari ya mji wa njombe
Umeanza vilio 😁😁

Kimsingi wewe ni mjinga
Screenshot_20250525-160359.jpg
 
Back
Top Bottom