Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hata maduka haya yamewa shinda makambakoView attachment 3344009
Hivi Katoro vingi mno ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡
1748103502671.jpg
 
Naona umesha ishiwa vya kupost una baki unarudi ofisi hizi zipo kila sehemu hata makambako wamejengaView attachment 3344012
Angalia hayo mandhari ya mji, wewe unazani nakuonyesha jengo la office?๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Ni swala la muda tu mtakimbia uzi huu nikizipata current pictures ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, angalia mji unavyojitengeneza na sio jengo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ
images (51).jpeg
unnamed.jpg
images (21).jpeg

Sasa nyie mnaanza kuniletea jengo moja moja lingine liko mashariki lingine kusini ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Wekeni picha yenye mandhari zaidi ya hii ๐Ÿ–•๐Ÿ–• Geita kama yapo kama hakuna bado miji yenu ni masankuloni
 
Mbona zingine sizioni, hizi Katoro nyingi mno ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ mfano hiyo ๐Ÿ‘‡hapo
1748104457535.jpg
 
Mkuu tatizo hujafika Njombe lakini siku ukifika utaamini kwa wenye takwimu wanaiweka Njombe juu kila kona.Njombe hadi vijijini ndani huko unakutana makazi mengi ya kisasa,majengo ya ghorofa nakili kuwa kanisa pia hususani wabenedictini walisaidia kushape na kutawanya maendeleo kupitia parokia za kanisa katoliki lakini pia kilimo ndio backbone yetu na kimefanya uchumi kukua kwa kasi kubwa
Sijafika ndio maana nataka muweke vitu humu nione, ukiweka picha kubwa inayoonyesha mji kwa upana kila mtu anaona, sasa una post kwa kuokoteza jengo moja moja unategemea nitakuelewa ๐Ÿค”๐Ÿค”
Fanya kama hivi kila mtu aione Njombe ilivyo na aione makambako ilivyo na sio kunilazimisha niamini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Screenshot_20250523-110419 (1).png
 
Technically wewe ni kilaza kabisa, nimepost picha ikionyesha namna mji unavyotenezewa mandhari ya kisasa na ya kuvutia, kwa akili yako fupi unaona nimepost kukuonyesha jengo la halmashauri ๐Ÿ˜ข๐Ÿค”
Sasa una post jengo moja la nini, post surrounding za hiyo office yako sasa at least cover hata 500m square tuone hayo mandhari ya mji wa njombe
Umeanza vilio ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Kimsingi wewe ni mjinga
Screenshot_20250525-160359.jpg
 
Back
Top Bottom