Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Huu hapa mfano wa miji iliyopangwa 👇Kasulu 💥 angalau walijitahidi sio uozo ulioko hapo MakambakoKatoro ni mjii wa kisiasa ?
Umemaanisha nini kusema hivi?
Katoro hii hii iliyojengwa hovyo hovyo?
Pita mitaa ya shule ya Msingi Kilimani endelea mbele uone huo usasa
Hatuna muda wa kulinganisha Kijiji na mji tumekwambia hiyo project ya soko NI sawa na project ya mtu binafsi makambako Kama una bisha angalia hapo Tena kawa zidi ana fremu za kutosha zaidi ya 100 na kumbiPost soko la makambako sasa 😂😂😂😂😂😂 kama hakuna ujue makambako si kitu mbele ya Katoro
Hatuna muda wa kulinganisha linganishaga na vijiji vyenu vya katoroHuu hapa mfano wa miji iliyopangwa 👇Kasulu 💥 angalau walijitahidi sio uozo ulioko hapo Makambako
View attachment 3341191View attachment 3341193
Naona tayari Kuna fyuzi imeshaanza kupoteza mawasiliano tulia hatulinganishi Kijiji na mji na Kama umetambua kuwa NI tatizo la nchi nzima Sasa tunakwambia makambako pana zaidi ya mitaa 50 ambayo haipo kwenye mpangilio mzuri haizidi mitanoHii 👇 makambako ndio imepangwa sio 😂 🤗 🤗 wewe ni kichaa, mipango miji ni tatizo la nchi nzima,
View attachment 3341178View attachment 3341179View attachment 3341180
View attachment 3341187View attachment 3341189
Punguza mawenge bila facts hapa utakula 🔨🔨🔨
Hatuna muda wa kubaki unapiga picha makazi Soma taarifa nbs wameeleza kila kitu Kama huamini tembelea eneo husikaNasubiri uyaweke hayo makazi bora ya makambako, kama huwezi kuyaweka hapa usilete rubbish zako hapa
Njombe ndio Mkoa wa matajiri wanaotegemewa hapa Tanzania.Bado hujasema 🔨🔨 , makambako na Njombe 90% nyumba ni magofu na vibanda vya kale vilivyojaa kutu 😂 😂 😂
Una la kusema tena au niweke picha 🤔
Haelewi angalie hotuba za jpm alivokuwa anatembelea mikoan alivofika mkoa wa NJOMBE mkutano wa makambako aliongea NiniAngekuwepo JPM angekuchapa makofi.
Yeye mwenyewe kwa kauli yake alishangazwa na ubora wa makazi Makambako
Hivi ni vitu vidogo sana Kwa Mkoa wa Njombe,vilianza kabla yenu.Weka basi kama hii 👇 kutoka huko Vumbistan republic of Rusty Makambako🔨🔨
View attachment 3341161
Mzee mwenzangu karibu katoro, huko makambako sijui mafinga waachie waluga luga.Kuna biashara kubwa kuliko Mji wa viwanda, junction ya Barabara kuu na pia wenye Huduma zote?
Unazeeka vibaya.
Zingatia neno Halmashauri ya Mji
Hiki kijiji ndio cha kushindana na Katoro?Hii 👇 makambako ndio imepangwa sio 😂 🤗 🤗 wewe ni kichaa, mipango miji ni tatizo la nchi nzima,
View attachment 3341178View attachment 3341179View attachment 3341180
View attachment 3341187View attachment 3341189
Punguza mawenge bila facts hapa utakula 🔨🔨🔨
Huwa siishi magulioniMzee mwenzangu karibu katoro, huko makambako sijui mafinga waachie waluga luga.
Kila siku mnapost kajengo haka haka hamna project nyingine ya maana?Hatuna muda wa kulinganisha Kijiji na mji tumekwambia hiyo project ya soko NI sawa na project ya mtu binafsi makambako Kama una bisha angalia hapo Tena kawa zidi ana fremu za kutosha zaidi ya 100 na kumbi View attachment 3341264
Utajiri wa nadharia leta facts vitu tangibleNjombe ndio Mkoa wa matajiri wanaotegemewa hapa Tanzania.
Ushamba unakusumbua,umetembea sana ni hapo Kijijini kwenu Masumbwe na Katoro 😁😁
Facts gani hata wewe unajua kabisa kwamba watu wa Njombe ndio matajiri.Utajiri wa nadharia leta facts vitu tangible
Bora kwenye magulio ya dhahabu kuliko kuishi kwenye minada ya maparachichi.Huwa siishi magulioni
Hizo Dhahabu Sasa hatuzioni watunazio.kuwa mafukara wakati parachichi zinaleta mabilioni.Bora kwenye magulio ya dhahabu kuliko kuishi kwenye minada ya maparachichi.
Tumekwambia huwezi linganishaga junction ya VIWANDA na biashara na ka Kijiji kenuHiki kijiji ndio cha kushindana na Katoro?
uKila siku mnapost kajengo haka haka hamna project nyingine ya maana?
Weka soko hapa mji hauna soko huo ni outdated, mpaka hapa Bado hujasemaHatuna muda wa kulinganisha Kijiji na mji tumekwambia hiyo project ya soko NI sawa na project ya mtu binafsi makambako Kama una bisha angalia hapo Tena kawa zidi ana fremu za kutosha zaidi ya 100 na kumbi View attachment 3341264
Weka soko hapa mji hauna soko huo ni outdated, mpaka hapa Bado hujasema
hilo ndo soko acha USHAMBA na vi fremu vyako hivo
Uwe una elewe tumekwambia hizo fremu kwa makambako ni sawa na project ya mtu binafsi haya nyingine hiyoWeka soko hapa mji hauna soko huo ni outdated, mpaka hapa Bado hujasema
View attachment 3341302