Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Hawajui kwamba kwa wholesalers ukitoka Mwanza inafata Katoro π₯Katoro kuna biashara kubwa, madini,usafirishaji,kilimo na uvuvi pia kuna majumba mengi ya thamani kuliko huko kusini njombe kuliko jaa vibanda umiza vya mabati ya kutu kila kona, endeleeni kupewa sifa za kijinga eti mnautajiri kwa kuangalia pato la mti mmoja mmoja, nyie kuleni sifa huku kanda ya ziwa tunaendelea kuchapa kazi kuongeza uchumi wetu na maisha ya mtu mmoja mmoja.
Najua unaumia sana ukiona vitu vya Katoro hapa unatamani ndo ingekuwa Makambako au Njombe lakini huna namna endelea kuumia π¨ππhalafu kula chuma hicho πHuko zaidi ya kambi za madini na vijiji vya uvuvi Kuna nn
Unachekesha.Najua unaumia sana ukiona vitu vya Katoro hapa unatamani ndo ingekuwa Makambako au Njombe lakini huna namna endelea kuumia π¨ππhalafu kula chuma hicho π
View attachment 3341041
HUO NI USHAMBA WAKO HAYA SOMA HAPO VIWANDA VYA MITI VINAVOZIDI KUONGEZEKA NDANI YA MKOA WA NJOMBE NA VINGI NI AROUND MAKAMBAKOππππNajua unaumia sana ukiona vitu vya Katoro hapa unatamani ndo ingekuwa Makambako au Njombe lakini huna namna endelea kuumia π¨ππhalafu kula chuma hicho π
View attachment 3341041
Umemaliza ku download? ππKwa nini unaogopa kupost hizi ππpicha za kwenu mashambani huko
View attachment 3340926
Kabarabara kamoja π¬π¬Najua unaumia sana ukiona vitu vya Katoro hapa unatamani ndo ingekuwa Makambako au Njombe lakini huna namna endelea kuumia π¨ππhalafu kula chuma hicho π
View attachment 3341041
Nikajua umekufa kumbe upo π€£π€£Katoro kuna biashara kubwa, madini,usafirishaji,kilimo na uvuvi pia kuna majumba mengi ya thamani kuliko huko kusini njombe kuliko jaa vibanda umiza vya mabati ya kutu kila kona, endeleeni kupewa sifa za kijinga eti mnautajiri kwa kuangalia pato la mti mmoja mmoja, nyie kuleni sifa huku kanda ya ziwa tunaendelea kuchapa kazi kuongeza uchumi wetu na maisha ya mtu mmoja mmoja.
Kuna biashara kubwa kuliko Mji wa viwanda, junction ya Barabara kuu na pia wenye Huduma zote?Katoro kuna biashara kubwa, madini,usafirishaji,kilimo na uvuvi pia kuna majumba mengi ya thamani kuliko huko kusini njombe kuliko jaa vibanda umiza vya mabati ya kutu kila kona, endeleeni kupewa sifa za kijinga eti mnautajiri kwa kuangalia pato la mti mmoja mmoja, nyie kuleni sifa huku kanda ya ziwa tunaendelea kuchapa kazi kuongeza uchumi wetu na maisha ya mtu mmoja mmoja.
Kila kitu ndio kitu gani πππ¨π¨Unachekesha.
Katoro na Makambako zipo hadhi tofauti.
Makambako ni kubwa kuliko Katoro kwa kila kitu.
Wewe Makambako unaisikia, sis Katoro tumeiona kwa macho yetu.
Post soko la makambako sasa ππππππ kama hakuna ujue makambako si kitu mbele ya KatoroHUO NI USHAMBA WAKO HAYA SOMA HAPO VIWANDA VYA MITI VINAVOZIDI KUONGEZEKA NDANI YA MKOA WA NJOMBE NA VINGI NI AROUND MAKAMBAKOππππ
Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Judica Omary amesema sekta ya misitu inategemewa mkoani Njombe jambo ambalo limepelekea wawekezaji wengi kuingia kwenye sekta hiyo na kujenga viwanda huku baadhi yao wakifuata sera za uwekezaji na wengine wakionekana kufanya kazi kinyume na utaratibu.
"Hivi viwanda vimeanza kuja kidogokidogo na mpaka sasa hivi vimefikia viwanda 19 vinavyojihusisha na mazao ya Venia na hivi vyote vipo wilaya ya Njombe sasa hivi na kwa ujumla vimeajiri watumishi wa muda 1878"amesema Judica Omary
Baadhi ya wadau walioshiriki kikao hicho akiwemo Meneja wa TRA mkoa wa Njombe Specioza Oule pamoja Daniel Okoka ambaye ni MNEC kutoka mkoa wa Njombe,wametoa wito kwa wawekezaji kuhakikisha wanafuata mikataba ya kikodi pamoja na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii kwenye maeneo yao ya uwekezaji ili kuimarisha uchumi.
#IceFmHabari
#NisikilizeMimi
Na @cleefmlelwah
View: https://www.instagram.com/reel/DJ6cYhttrL0/?igsh=MWN6amRnaHRycWI3bA==
Wewe huwezi kupost hata picha moja yenye barabara mbili kwa sababu unajua kuna uharo mtupu π¨π¨π¨Kabarabara kamoja π¬π¬
Katoro ni mjii wa kisiasa ?Kila kitu ndio kitu gani πππ¨π¨
Makambako ni mji wa kizamani uliojaa kutu na Katoro ni mji wa kisasa
Bado hujasema π¨π¨ , makambako na Njombe 90% nyumba ni magofu na vibanda vya kale vilivyojaa kutu π π πKatoro ni mjii wa kisiasa ?
Umemaanisha nini kusema hivi?
Katoro hii hii iliyojengwa hovyo hovyo?
Pita mitaa ya shule ya Msingi Kilimani endelea mbele uone huo usasa
Angekuwepo JPM angekuchapa makofi.Bado hujasema π¨π¨ , makambako na Njombe 90% nyumba ni magofu na vibanda vya kale vilivyojaa kutu π π π
Una la kusema tena au niweke picha π€
Au kwa kuwa Kuna round about Makambako ndio unaona ni mji babu kubwa sio π€π€Katoro ni mjii wa kisiasa ?
Umemaanisha nini kusema hivi?
Katoro hii hii iliyojengwa hovyo hovyo?
Pita mitaa ya shule ya Msingi Kilimani endelea mbele uone huo usasa
Na Magufuli huyu huyu pia alishangazwa na ukuaji wa Masumbwe kwa kauli yake ππ ukitaka ushahidi naletaAngekuwepo JPM angekuchapa makofi.
Yeye mwenyewe kwa kauli yake alishangazwa na ubora wa makazi Makambako
Weka basi kama hii π kutoka huko Vumbistan republic of Rusty Makambakoπ¨π¨Angekuwepo JPM angekuchapa makofi.
Yeye mwenyewe kwa kauli yake alishangazwa na ubora wa makazi Makambako
Nasubiri uyaweke hayo makazi bora ya makambako, kama huwezi kuyaweka hapa usilete rubbish zako hapaAngekuwepo JPM angekuchapa makofi.
Yeye mwenyewe kwa kauli yake alishangazwa na ubora wa makazi Makambako
Hii π makambako ndio imepangwa sio π π€ π€ wewe ni kichaa, mipango miji ni tatizo la nchi nzima,Katoro ni mjii wa kisiasa ?
Umemaanisha nini kusema hivi?
Katoro hii hii iliyojengwa hovyo hovyo?
Pita mitaa ya shule ya Msingi Kilimani endelea mbele uone huo usasa