Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Bado hujasema, na utasemaUnatapatapa.Unahiu hizo Dhahabu za Dar Zinatoka wapi?
Kawaambie Tume ya Madini wa compile data Kwa mujibu wa wewe inavyotaka ππ
Niongeze dozi au umetosheka?
View attachment 3340701View attachment 3340702
View attachment 3340703
View attachment 3340704
Acha kuhangaika na Kijiji chako hichi unaaibika bure na kudhihilisha kuwa bado NI mshamba makazi ya namna hii yapo kila Kijiji mjini tunaongelea gorofa sio nyumba hizoπ¨π¨π€π€ππ Kama huna akili fupi kweli ebu post hapa picha ya Makambako au Njombe ikiwa imejaa full namna hiiππili upime hiyo akili yako, kazi kuleta maneno ya kwenye kanga na matusi
View attachment 3340887View attachment 3340888
Kwa nini unaogopa kupost hizi ππpicha za kwenu mashambani hukoYaani niumie kwenye Yako kakijiji kalikojaa ufukara?
Hivi taa za barabarani ni za kulingishia miaka hii kweli? Kila Kijiji na Mji zimetungwa na mwaka huu Samia anaguna zingine zaidi ya 4,000.
Tafuta hoja wewe mbumbumbu wa Kijiji Cha Katoro.
Na nitawaaibisha nyinyi msio jua kuwa mambo yameshabadilika huku mkiendelea kujiita matajiri kwa makaratasi, nyie wekeni ushahidi wenu wa makaratasi mimi nawapiga nyundo kwa groundAcha kuhangaika na Kijiji chako hichi unaaibika bure na kudhihilisha kuwa bado NI mshamba makazi ya namna hii yapo kila Kijiji mjini tunaongelea gorofa sio nyumba hizo
Sasa kwanza wewe huoni aibu kutolewa NOK out na kijiji πππ¨, umepost kigohorofa kimoja kimoja kutoka makambako nimepost pia ghorofa moja moja toka Katoro, sasa kwa nini pia usiweke makazi kama nilivyofanya tuone matajiri mnalala wapi?Acha kuhangaika na Kijiji chako hichi unaaibika bure na kudhihilisha kuwa bado NI mshamba makazi ya namna hii yapo kila Kijiji mjini tunaongelea gorofa sio nyumba hizo
Tajiri wewe nyumba yako iko wapi kwenye hili jiji lenu πππ€Acha kuhangaika na Kijiji chako hichi unaaibika bure na kudhihilisha kuwa bado NI mshamba makazi ya namna hii yapo kila Kijiji mjini tunaongelea gorofa sio nyumba hizo
Hadi leo unashoboka na nyumba za chini asee hivyo vijiji bado sanaSasa kwanza wewe huoni aibu kutolewa NOK out na kijiji πππ¨, umepost kigohorofa kimoja kimoja kutoka makambako nimepost pia ghorofa moja moja toka Katoro, sasa kwa nini pia usiweke makazi kama nilivyofanya tuone matajiri mnalala wapi?
Hivyo vijiji vyenu outdated mnavyipa sifa ambazo havistahili mnaanza kuvimba π
Mnaumia kimoyo moyo π€π€ hilo siyo shida yangu, na kama Katoro ingekuwa iko Njombe tusingepumua humu mngekuwa mmeshaipa hadhi ya jiji πππ€
Tembelea tukuonyeshe mijengo ya matajir ndo ujue njombe NI level nyingineSasa kwanza wewe huoni aibu kutolewa NOK out na kijiji πππ¨, umepost kigohorofa kimoja kimoja kutoka makambako nimepost pia ghorofa moja moja toka Katoro, sasa kwa nini pia usiweke makazi kama nilivyofanya tuone matajiri mnalala wapi?
Hivyo vijiji vyenu outdated mnavyipa sifa ambazo havistahili mnaanza kuvimba π
Mnaumia kimoyo moyo π€π€ hilo siyo shida yangu, na kama Katoro ingekuwa iko Njombe tusingepumua humu mngekuwa mmeshaipa hadhi ya jiji πππ€
Unatuletea picha za miaka hio humu mzee vp visit njombe ndo utaelewaKwa nini unaogopa kupost hizi ππpicha za kwenu mashambani huko
View attachment 3340926
Huyo jamaa huwa akili zake anazijua mwenyewe wame base zaidi kwenye data za ovyo bila kuzingatia data za kimataifa, niliona takwimu fulani ya nbs eti Dar ipo nafasi ya pili kwa uzalishaji na uuzaji wa dhahabuπ€£π€£π€£Geita Gold Mine (GGM) wana uwanja wao wa ndege mgodini, wanabeba dhahabu hao wanapeleka Nje mambele huko, kwa akili zako unatarajia takwimu zao uzikute kwenye mauzo ya masoko ya ndani?
Wanaouzia kwenye masoko ya ndani ni wachimbaji wadogo wadogo na mapato yanapatikana hayo, sasa kwa akili zako fupi ukazani hizo data zitakusaidia kuonyesha kwa Chunya inaizidi Geita uzalishaji wa dhahabu π€π€
Nije kufanya nini huko π€ na wewe fanya kutembelea Geita uone dunia ilivyobadilikaT
Tembelea tukuonyeshe mijengo ya matajir ndo ujue njombe NI level nyingine
Hakuna mji huko zaidi ya vumbi na baridi yabisi.Tajiri wewe nyumba yako iko wapi kwenye hili jiji lenu πππ€
View attachment 3340967
Hahaha Sasa kwa makambako Hilo NI jengo la mtu mmoja ndo ujue tunavokwa mbia watu Wana pesaSoko kuu Katoro π
View attachment 3340995
Hawana akili hawa ngoja niwanyoshe. Yaani mkoa una mgodi wa dhahabu mkubwa kwenye list ya migodi ya dhahabu Africa, halafu kwenye uchangiaji wa pato la taifa Mkoa unakuwa uko chini π€ kama akili zako ziko timamu huwezi kujiongeza kuwa there's something fishy!Huyo jamaa huwa akili zake anazijua mwenyewe wame base zaidi kwenye data za ovyo bila kuzingatia data za kimataifa, niliona takwimu fulani ya nbs eti Dar ipo nafasi ya pili kwa uzalishaji na uuzaji wa dhahabuπ€£π€£π€£
Huko zaidi ya kambi za madini na vijiji vya uvuvi Kuna nnHakuna mji huko zaidi ya vumbi na baridi yabisi.
Weka soko la makambako sasa mbona empty talks as usual ππππHahaha Sasa kwa makambako Hilo NI jengo la mtu mmoja ndo ujue tunavokwa mbia watu Wana pesa
Katoro kuna biashara kubwa, madini,usafirishaji,kilimo na uvuvi pia kuna majumba mengi ya thamani kuliko huko kusini njombe kuliko jaa vibanda umiza vya mabati ya kutu kila kona, endeleeni kupewa sifa za kijinga eti mnautajiri kwa kuangalia pato la mti mmoja mmoja, nyie kuleni sifa huku kanda ya ziwa tunaendelea kuchapa kazi kuongeza uchumi wetu na maisha ya mtu mmoja mmoja.Huko zaidi ya kambi za madini na vijiji vya uvuvi Kuna nn
Hamna kitu huko labda ataweka magulio ya parachichi.Weka soko la makambako sasa mbona empty talks as usual ππππ