Si rudii Tena kwakwelUnakosea sana kulinganisha Halmashauri ya Mji wa Makambako na Kijiji kilichochangamka Cha manamba wa Madini Cha Katoro.
Katoro size yake ni kina Majimoto,Chimala,Laela,Shelui etc.
Haiwezi fika hata Kwa Kibaigwa so weka picha tuu ila sio.kulinganisha.
NI kwelUnakosea sana kulinganisha Halmashauri ya Mji wa Makambako na Kijiji kilichochangamka Cha manamba wa Madini Cha Katoro.
Katoro size yake ni kina Majimoto,Chimala,Laela,Shelui etc.
Haiwezi fika hata Kwa Kibaigwa so weka picha tuu ila sio.kulinganisha.
Uswazi mtupu.Tupate wazamini kidogo π₯π₯π hapa wanaishi maskini according to Choice variable Said
KATORO π₯
View attachment 3338283
Nasubiri alete makazi wanapoishi matajiri wa kwenye makaratasi wa Njombe na Makambako π€
Povu ππGeita ina mgodi unaodhalisha dhahabu ambayo thamani yake ni zaidi ya mara5 ya budget yenu ya serikali, lakini kwa ubinafisi wa viongozi kadhaa wakasaini mkataba wa hovyo, then unaniletea takwimu za hivi unataka nikuelewe π€!
Geita peke yake inaweza kuendesha Budget ya serikali kama viongozi watangulizi wangekuwa wazalendo wa nchi hii, lakini kwa vile walikua na akili kama zako ndio waliotufikisha hapa.
Hizo takwimu za GDP ya mkoa wa Geita, ukiona umeziamini, basi huna sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kuiongoza nchi hii na tukatoka hapa tulipo kwenda mbele zaidi
Always maneno ya kwenye kanga. Hizo empty talk zako unalazimisha niamini bila ushahidi? Changes kila sehemu zipo, kwenye google Earth Ilembula imechukuliwa kukiwa hakuna lami, hiyo picha on the ground kuna lami, Ilembula bado ni kijijiHizo NI picha za muda mrefu ilembula ilishabadika zaidi ya hapo NI sawa na igwachanya watu wanashusha majengo fika eneo husika ndo utapata uhalisia Google map huwa hawa fanyi update mara kwa mara mzee
Hujielewi wewePovu ππ
Wilaya inayoongoza Kwa Kuzalisha Dhahabu hapa Tanzania ni Chunya,kama unabisha sema ππ
Labda mjumlishe maeneo yenu yoote ya uzalishaji ndani ya Mkoa wa Geita kuanzia huko Mbogwe Hadi Geita ndio mtazidi Chunya-Mbeya.
Zingatia haya maelezo hapo chini ππ
View: https://www.instagram.com/p/DJ2PU8pORbM/?igsh=MXdnbmx6cTVsazBmcg==
Kuwa largest gold mine ndio Kuzalisha Dhahabu nyingi? ππHujielewi wewe
View attachment 3340575
Kama kawaida yenu kupost jengo moja moja, mnazani magorofa yanajengwa Makambako tu?Leta vitu Kama hivi ndo tutakuelewa acha na ushamba wa kupiga mapaa ila sio kosa lako si mlizoea kuishi kwenye nyumba za tembe na zilizoezekwa udongo NI Jambo geni kwenu njombe huko tulisha toka miaka mingi now ni mwendo wa humu makambakoView attachment 3340564View attachment 3340565View attachment 3340566View attachment 3340567View attachment 3340568
Unakaza fuvu sio ππππ yaani takwimu hizi umesoma kichwa cha habari vizuriKuwa largest gold mine ndio Kuzalisha Dhahabu nyingi? ππ
Umejiandaa kuaibika au Bado unakomaa kama juzi? ππUnakaza fuvu sio ππππ
Haya ni mapato yaliyopatikana π’πππ, mapato ya Geita mfano GGM hayaendi kwa serikali wanachukua wazungu viongozi wenu walipigwa kwenye mikatabaUmejiandaa kuaibika au Bado unakomaa kama juzi? ππ
Kilaza soma hiyoo π π View attachment 3340648
Niongee dozi au umerudhika? π€£π€£
Unazani mapato ya GGM utayapata tanzania πππUmejiandaa kuaibika au Bado unakomaa kama juzi? ππ
Kilaza soma hiyoo π π View attachment 3340648
Niongee dozi au umerudhika? π€£π€£
Takwimu zenyewe zinakuaibisha ππ, ivi uliona wapi mgodi wa dhahabu Dar es salaam?Umejiandaa kuaibika au Bado unakomaa kama juzi? ππ
Kilaza soma hiyoo π π View attachment 3340648
Niongee dozi au umerudhika? π€£π€£
Unaumia ukiwa wapi π€ ππ₯ππUswazi mtupu.
Zingatia neno Halmashauri ya Mji.
Yaani niumie kisa hako kakijiji kalikojaa ufukara?Unaumia ukiwa wapi π€ ππ₯ππ
View attachment 3340672
Unatapatapa.Unahiu hizo Dhahabu za Dar Zinatoka wapi?Takwimu zenyewe zinakuaibisha ππ, ivi uliona wapi mgodi wa dhahabu Dar es salaam?
Acha kujiaibisha π€πππ
Geita Gold Mine (GGM) wana uwanja wao wa ndege mgodini, wanabeba dhahabu hao wanapeleka Nje mambele huko, kwa akili zako unatarajia takwimu zao uzikute kwenye mauzo ya masoko ya ndani?Unatapatapa.Unahiu hizo Dhahabu za Dar Zinatoka wapi?
Kawaambie Tume ya Madini wa compile data Kwa mujibu wa wewe inavyotaka ππ
Niongeze dozi au umetosheka?
View attachment 3340701View attachment 3340702
View attachment 3340703
View attachment 3340704
π¨π¨π€π€ππ Kama huna akili fupi kweli ebu post hapa picha ya Makambako au Njombe ikiwa imejaa full namna hiiππili upime hiyo akili yako, kazi kuleta maneno ya kwenye kanga na matusiYaani niumie kwenye Yako kakijiji kalikojaa ufukara?
Hivi taa za barabarani ni za kulingishia miaka hii kweli? Kila Kijiji na Mji zimetungwa na mwaka huu Samia anaguna zingine zaidi ya 4,000.
Tafuta hoja wewe mbumbumbu wa Kijiji Cha Katoro.