Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Usione aibu weka makazi hapa π€π€Makambako hata wewe unajua ni zaidi ya Hiko Kijiji,ninTC Wala huhitaji picha .
Mwanza,Kagera,Mara nk ππππππWeka ushahidi πππ na isiwe kwenye karatasi tu, uonyeshe pia hizo nyumba zinapatikana kijiji kipi,
In short tunawazidi kila kitu, wingi wa matajiri tunawazidi na wingi wa maskini tunawazidi ππππ
Aibu ya nini Sasa ππππUsione aibu weka makazi hapa π€π€
Usirudie tena kuweka battle na Mimi ,hiyo Mikoa ya mafukara sio level yetu nadhani Sasa umeelewa Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa TanzaniaUsione aibu weka makazi hapa π€π€
Kaka acha kujidhalilisha, huwez kufananisha mikoa ya nyanda za juu kusini , yaani mkoa wowote ule wa nyanda za juu kusini ufananishe na GeitaWeka ushahidi πππ na isiwe kwenye karatasi tu, uonyeshe pia hizo nyumba zinapatikana kijiji kipi,
In short tunawazidi kila kitu, wingi wa matajiri tunawazidi na wingi wa maskini tunawazidi ππππ
Kwenye hizo takwimu Njombe imeizidi Geita kwa kipi πππ? Yaani vyote vizuri na vibaya tunawazidi π π
Umechambua ripoti au umekurupuka? Nikuletee ripoti nyingine?Kwenye hizo takwimu Njombe imeizidi Geita kwa kipi πππ? Yaani vyote vizuri na vibaya tunawazidi π π
Wewe endelea kukaririKaka acha kujidhalilisha, huwez kufananisha mikoa ya nyanda za juu kusini , yaani mkoa wowote ule wa nyanda za juu kusini ufananishe na Geita
π€£π€£π€£ Kwa hiyo hapa Kuna Njombe ila Geita haipo au? ππππWewe endelea kukariri
Kila kitu nimechambua, yaani Njombe uizidishe at least 3 times ndio ifikie Geita, ndio maana nikasema njombe inazidiwa kila kitu, vizuri na vya hovyoUmechambua ripoti au umekurupuka? Nikuletee ripoti nyingine?
Source of information?π€£π€£π€£ Kwa hiyo hapa Kuna Njombe ila Geita haipo au? ππππView attachment 3338217
Au siyo? Una akili za kifukara sana π€£π€£ππKila kitu nimechambua, yaani Njombe uizidishe at least 3 times ndio ifikie Geita, ndio maana nikasema njombe inazidiwa kila kitu, vizuri na vya hovyo
Wewe ni nyumbu,hizo ni takwimu za sensa from NBS.Source of information?
Yaani kwenye takwimu za uswazi Dar isiongoze iongoze Kagera π’! Hauko seriousπ€£π€£π€£ Kwa hiyo hapa Kuna Njombe ila Geita haipo au? ππππView attachment 3338217
Nini maana ya Kagera kuwa maskini namba 1 Tanzania na Dar kuwa Tajiri namba 1 πΉπΏ?Yaani kwenye takwimu za uswazi Dar isiongoze iongoze Kagera π’! Hauko serious
Na unazani watu kujenga pasipo pimwa nani alaumiwe, haya huko palipopimwa tuwekee picha hapa tuone
Ujinga wenu tuu .Hadi Rukwa imewashinda,Geita Iko mkiani ππNa unazani watu kujenga pasipo pimwa nani alaumiwe, haya huko palipopimwa tuwekee picha hapa tuone
Unajua huo utajiri unapimwa kwa vipimo gani (Nini maana ya Kagera kuwa maskini namba 1 Tanzania na Dar kuwa Tajiri namba 1 πΉπΏ?
Vipimo vyote unavyovijua wewe.ππUnajua huo utajiri unapimwa kwa vipimo gani (
Hiyo GDP unazani ni kipimo sahihi zaidi kutambua kipato cha mtu mmoja mmoja π’? Je unajua weakness zake?Vipimo vyote unavyovijua wewe.ππView attachment 3338227