Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

CHUO KIKUU CHA DODOMA CHASAINI MKATABA WA UJENZI WA KAMPASI NJOMBE NA KAMPUNI YA DIMETOCLASA REALHOPE LTD

Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Prof. Rwekaza Mukandala, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamefika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe kwa ajili ya kushuhudia tukio muhimu la utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa majengo ya Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mkoani Njombe.

Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi wa ngazi mbalimbali ambapo walipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka.

Katika tukio hilo, Chuo Kikuu cha Dodoma kimesaini rasmi mkataba wa ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe na Kampuni ya Dimetoclasa Realhope Limited, ambayo ndiyo mkandarasi atakayetekeleza mradi huo mkubwa wa kitaifa. Picha ya tukio inaonesha wawakilishi wa UDOM na kampuni hiyo wakipeana mikono kwa furaha baada ya kutiwa saini mkataba, ikiwa ni ishara ya ushirikiano rasmi ulioanzishwa kwa lengo la kukuza elimu ya juu nchini. Mhe. Mtaka alieleza kuwa mradi huo utakuwa kichocheo cha ukuaji wa uchumi na maendeleo ya kijamii kwa wananchi wa Mkoa wa Njombe.
 
FB_IMG_17472818779330513.jpg
 
Nyumba za matajiri 😂😂😂😭😭😭😭😭😭
Hebu twambie miji yako ya geita na kahama Ina km ngapi za lami mitaan tunamaanisha za tarura hapo makambako tayar zilizo kamilika zinafika km 22 zina tumika zinazo jengwa km 4 zinaendelea kujengwa na tarura na km zaidi ya 5 zinajengwa na TACTICS KO MJI UNAENDA KUA NA ZAID YA KM 30 ZA LAMI👇👇👇
View: https://www.facebook.com/share/v/16X8EgJr7U/
 
Hebu twambie miji yako ya geita na kahama Ina km ngapi za lami mitaan tunamaanisha za tarura hapo makambako tayar zilizo kamilika zinafika km 22 zina tumika zinazo jengwa km 4 zinaendelea kujengwa na tarura na km zaidi ya 5 zinajengwa na TACTICS KO MJI UNAENDA KUA NA ZAID YA KM 30 ZA LAMI👇👇👇
View: https://www.facebook.com/share/v/16X8EgJr7U/

Kwa lami Geita hautaiweza
Screenshot_20250515-175623.png
 
Katoro mji saivi unajitegemea wenyewe kama jimbo, zamani ulikuwa jimbo la Busanda. Geita DC kwa sasa inakuwa na majimbo matatu( Geita vijijini, Busanda na Katoro)Kituo cha police cha mji wa Katoro pia ni cha level ya wilaya, soon itajitegemea kama wilaya vigezo vyote vipo, population ni zaidi ya laki 2, na haitachelewa kuwa manispaa. Everything is going to change very soon

Expectations:
-Mji utakuwa na mwakilishi bungeni
-Kero za mji zitaanza kutatuliwa ( Barabara za lami, uwekezaji, etc)
-mchakato wa kujitegemea kama wilaya utaharakishwa na ukiwa wilaya haitachukua miaka hata mitano utakuwa manispaa

Swali la msingi la kujiuliza wana Njombe na nyanda za juu kusini;
Je, kuna wilaya yoyote huko ina majimbo matatu?
Kama hakuna, tambua kuwa Geita ni ya kuangaliwa kwa jicho la tatu katika nyanja zote.

Implications;
Serikali haiutendei haki mkoa wa Geita kuanzia kwenye ukusanyaji wa mapato
Upigaji ni mwingi na serikali inaambulia kipato kidogo.


Screenshot_20250515-190934.png
 
Hatuongelei za tanroad tupe za ndan ya mji wa geita Ina km ngapi zilizo chini ya tarura
 
Katoro mji saivi unajitegemea wenyewe kama jimbo, zamani ulikuwa jimbo la Busanda. Geita DC kwa sasa inakuwa na majimbo matatu( Geita vijijini, Busanda na Katoro)Kituo cha police cha mji wa Katoro pia ni cha level ya wilaya, soon itajitegemea kama wilaya vigezo vyote vipo, population ni zaidi ya laki 2, na haitachelewa kuwa manispaa. Everything is going to change very soon

Expectations:
-Mji utakuwa na mwakilishi bungeni
-Kero za mji zitaanza kutatuliwa ( Barabara za lami, uwekezaji, etc)
-mchakato wa kujitegemea kama wilaya utaharakishwa na ukiwa wilaya haitachukua miaka hata mitano utakuwa manispaa

Swali la msingi la kujiuliza wana Njombe na nyanda za juu kusini;
Je, kuna wilaya yoyote huko ina majimbo matatu?
Kama hakuna, tambua kuwa Geita ni ya kuangaliwa kwa jicho la tatu katika nyanja zote.

Implications;
Serikali haiutendei haki mkoa wa Geita kuanzia kwenye ukusanyaji wa mapato
Upigaji ni mwingi na serikali inaambulia kipato kidogo.


View attachment 3334863
Haha we jamaa wilaya ya njombe tu Ina majimbo matatu Kuna makambako , lupembe na njombe mjini haya haya iringa Kuna wilaya ya mufindi Ina majimbo matatu Kuna mafinga ,mufindi kusini na kaskazin
 
Haha we jamaa wilaya ya njombe tu Ina majimbo matatu Kuna makambako , lupembe na njombe mjini haya haya iringa Kuna wilaya ya mufindi Ina majimbo matatu Kuna mafinga ,mufindi kusini na kaskazin
Makambako siyo wilaya inayojitegemea?😄😄😄
 
Haha we jamaa wilaya ya njombe tu Ina majimbo matatu Kuna makambako , lupembe na njombe mjini haya haya iringa Kuna wilaya ya mufindi Ina majimbo matatu Kuna mafinga ,mufindi kusini na kaskazin
Kumbe na wewe mbabaishaji tu, Ludewa ni wilaya inajitegemea na iringa hakuna wilaya yenye majimbo matatu
Screenshot_20250516-040842.png
Screenshot_20250516-040959.png
 
Kumbe na wewe mbabaishaji tu, Ludewa ni wilaya inajitegemea na iringa hakuna wilaya yenye majimbo matatu
View attachment 3335599View attachment 3335598
Nimekwambia mufindi dc Ina majimbo matatu la Kwanza NI mafinga mbunge NI naibu waziri wa mambo ya nje cosato chumi la pili NI mufindi kusini mbunge NI naibu waziri uchukuz kihenzile la tatu mufindi kaskazini ambalo naibu waziri wa viwanda na biashara kigahe Sasa unacho kaa na kubishana NI nn nenda kwenye takwimu za majimbo nbs ndo utapata mwongozo naona walivoongeza katoro ukaona ndo Jimbo la Kwanza kuwa hivo kumbe mkoa wa njombe toka 2015 walisha kuwa na mfumo huo hata iringa dc Ina majimbo matatu Kuna iringa mjin ,kalenga na isimani ndo maana halmashauri tz zipo ,185 na majimbo ya zaidi ya 200 ujue Kuna wilaya zina majimbo Hadi manne
 
Makambako siyo wilaya inayojitegemea?😄😄😄
Aliye kwambia wilaya NI nani Ile NI halmashauri ya mji wilaya NI njombe yenye jumla ya halmashauri tatu ambazo NI njombe dc ambalo kijimbo NI lupembe ,njombe mjini na makambako mkuu wa wilaya NI mmoja
 
Kumbe na wewe mbabaishaji tu, Ludewa ni wilaya inajitegemea na iringa hakuna wilaya yenye majimbo matatu
View attachment 3335599View attachment 3335598

Usishupaze shingo hapo hiyo takwimu yako NI ya halmashauri si majimbo haya majimbo ya iringa haya hapa👇👇👇👇 Majimbo ya bunge​

hariri
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:

 
Kumbe na wewe mbabaishaji tu, Ludewa ni wilaya inajitegemea na iringa hakuna wilaya yenye majimbo matatu
View attachment 3335599View attachment 3335598

Haya majimbo ya mkoa wa njombe 👇👇👇Majimbo ya bunge​

hariri
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:

 
Kumbe na wewe mbabaishaji tu, Ludewa ni wilaya inajitegemea na iringa hakuna wilaya yenye majimbo matatu
View attachment 3335599View attachment 3335598
Ndo maana siku zote tunavo kwambia katoro bado NI Kijiji huwa una bisha haya angalia kwenye list yako hiyo ya halmashauri Kama imo Yani katoro kupewa Jimbo NI sawa ilivyo mtwango Jimbo la lupembe na kule Kuna ofisi nyingi tu zinajengwa za halmashauri pale kidegembye hiyo kazi kwa mkoa wa njombe ilishamalizika toka 2015 saiz Wana deal na kuitengeneza mji wa makambako na sub town zinazo uzunguks Kama ilembula ,mtwango na igwachanya kuwa jiji la viwanda na biashara Kanda ya nyasa
IMG-20250326-WA0028.jpg
FB_IMG_17473656658485595.jpg
soko la kimataifa la mazo ujenzi unaendelea
IMG_20250509_172529~2.jpg
FB_IMG_17473684297906818~2.jpg
 
Back
Top Bottom