Amanigk, na wewe tusaidie kujua pale Caspian Limited ofisini kwa Rostam Kiwalani ni plot namba ngapi vile?!!! Halafu huyu John.... Kyomyuhendo, anafanya wapi kazi vile!!!??? halafu nani vile aliyekua anakwenda BoT kupush malipo? nani aliyelazimishwa na wanene kupatiwa malipo? baadaye Ni nani aliyekwenda kuzibadilisha fedha na ni katika bureu de change gani... naona kama jina linafanana na jina la kampuni inayimiliki jengo moja lililoanguka vile!!?? kwa kuwa unajua zaidi kaka hebu tusaidie
Mwanakijiji aliwahi kuanzisha hii topicNa huyu Benjamin Mwangonda wa Khatco Management Limited -aliye kuwa shahidi wakati hati namba 54040ikitolewa naye napata mashaka naye.
Kuna kamsemo ka kiswahili kanasema.. "ukiona giza totoro, jua mapambazuko yanakaribia". Thanks Invisible and other JF members.
Katika hili Dr. Kimei ana mengi ya kueleza kwa Watanzania, why CRDB only and not other banks!!!!!
Dadangu hapa umeniacha kidogoo, kuhusu Pinda.Hii ni moja ya sababu kubwa kwa Pinda kupewa uwaziri mkuu, connection nyingine iko kwenye zile threads zilizowekwa hapa wakati na kabla ya Pinda kuteuliwa kuwa waziri Mkuu.
hint..... southern cross!
Invisible,
Hii ni moja ya sababu kubwa kwa Pinda kupewa uwaziri mkuu, connection nyingine iko kwenye zile threads zilizowekwa hapa wakati na kabla ya Pinda kuteuliwa kuwa waziri Mkuu.
hint..... southern cross![/QUOTE]
I also dont follow this! Kama yeye ndo kazuia live coverage ya Slaa, he also sacks!
Dadangu hapa umeniacha kidogoo, kuhusu Pinda.
Tuandamane vipi??,
Hata mambo yanayohusu maslahi yetu sote wa-tz tunawekeana bati mzee??? Tunahitaji kufahamu hili ni suala la kitaifa ni vizuri kufahamishana.. hatuwezi wote kuwa na access na hizo nyeti wengine tuko ziwani tunajiandaa kwenda kutupa nyavu!!!
I also dont follow this! Kama yeye ndo kazuia live coverage ya Slaa, he also sacks!