Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

Hao jamaa wanatuchezea shere kama mchezo wa karata tatu alianza Chavda, Vithlani, Jeetu Patel, Somaia, Manji, Rostam Aziz sasa swali linakuja mbona wanakuwa ngozi za kigabacholi? Au ndio ile dhana ya huyu ana dual citizenship kwa hiyo hata mkipiga kelele hamuwapati.
 
Manji anaweza kuwa mbaya kuliko hata RA alishiriki sana kuiba pesa nyingi za uma kwa ajili ya uchaguzi wa 2005 kwa kutumia mashirika kama NSSF, PPF nk.
Kumbukeni ccm walichota pesa nyingi katika miradi ya ujenzi kama jengo la bunge dodoma, benjamini william mkapa pension tower, water front, ubungo plaza,..................we acha tu
 
[
Akina Makamba na wenzake ndio maana hawaishi kupigana vikumbo nyumbani na ofisini kwa Manji ili kwenda kuchukua mshiko wao maana wanajua jamaa anazo nyingi alizozipata kifisadi. Kigumu chama cha mafisadi! Kigumu![/size][/color][/QUOTE]

hivi akina makamba hizo pesa mkichukua huko benki wenyewe hazinogo mpaka mupeleke kwa manji au rostam azizi awagawie ndo zinanoga?
 
CCM wasitufanye sisi wapuuzi....halafu ndugu zangu mjue tatizo ni kikwete mwenyewe watu wanashindwa kusema...!
 
Haya Mambo ndiyo yalivyo, na CCM kwa sasa ni chama cha Mafisadi pasipo shaka yoyote na kamwe hakitaweza kuwasaidia watanzania. Kwa bahati mbaya Tanzania kwa sasa ni Yatima maana inaonekana hata serikali mbadala hatuiioni, na nafikiri kuna haja ya kuanzishwa kwa chama cha Siasa makini maana hawa jamaa waliopo katika kambi ya Upinzani kwa umoja wao, nao hoi bin Taaban, sawa kwa mmoja moja wapo lakini wakija kama chama nao buree wanakaribiana na binamu zao CCM.
 

Attachments

Naona watu mmekuwa kimya ghafla. Endeleeni kuipitia hii na kama kuna zaidi kinachohitajika tuarifiane. Nadhani hizo hints ni muhimu kuliko kuweka kila deed ya hii doc.

Hii ni kwa waliojisajili tu!
 
Invisible sijui kama unawza kunisaidia kwa hili

Kulingana na hilo bandiko nimeona watu wawili:JohnKyomuhendo anayemiliki kwa asilimia arobaini na Francis William mwenye asilimia sitini ndio wadau wakubwa kabisa kwenye hili.

Nilikua naomba nielekezwe Manji anahusika vipi/au Rostam ilihali wawili hawa hawajatajwa kwenye bandiko hili sehemu yeyote.
asante
 
Invisible sijui kama unawza kunisaidia kwa hili

Kulingana na hilo bandiko nimeona watu wawili:JohnKyomuhendo anayemiliki kwa asilimia arobaini na Francis William mwenye asilimia sitini ndio wadau wakubwa kabisa kwenye hili.

Nilikua naomba nielekezwe Manji anahusika vipi/au Rostam ilihali wawili hawa hawajatajwa kwenye bandiko hili sehemu yeyote.
asante
Kwa sasa nashindwa kukupa msaada, nipe muda kidogo. Kuna wenye info zaidi wanaowajua kwa karibu watu hawa wanaweza kukupeni connection ilivyo na baadae Kagoda ilivyokuja kumilikishwa kwa mwingine.

Hope am well understood
 
helloo!!!!! someone switch off the TV, maswala nyeti ya serikali yanapojadiliwa wananchi hawapaswi kusikia tena waambieni na hao TVT(TBC) na STAR TV hakuna kurusha matangazo haya ...shiiiiiiiii........ kwi kwi kwi kwi kwi kwi
 
jamani naomba kujua huyu Francis William sio FRANCIS TABARO kweli huyu????
 
Invisible sijui kama unawza kunisaidia kwa hili

Kulingana na hilo bandiko nimeona watu wawili:JohnKyomuhendo anayemiliki kwa asilimia arobaini na Francis William mwenye asilimia sitini ndio wadau wakubwa kabisa kwenye hili.

Nilikua naomba nielekezwe Manji anahusika vipi/au Rostam ilihali wawili hawa hawajatajwa kwenye bandiko hili sehemu yeyote.
asante

Amanigk, na wewe tusaidie kujua pale Caspian Limited ofisini kwa Rostam Kiwalani ni plot namba ngapi vile?!!! Halafu huyu John.... Kyomyuhendo, anafanya wapi kazi vile!!!??? halafu nani vile aliyekua anakwenda BoT kupush malipo? nani aliyelazimishwa na wanene kupatiwa malipo? baadaye Ni nani aliyekwenda kuzibadilisha fedha na ni katika bureu de change gani... naona kama jina linafanana na jina la kampuni inayimiliki jengo moja lililoanguka vile!!?? kwa kuwa unajua zaidi kaka hebu tusaidie
 
kwi kwi kwi kwi kwi.... hao magest leo wanasubiri dondoo tu.. leo haingii mtu sinema bure, leo hampati kitu hata mkipanda juu ya miti... tumeweka bati leo.. babakee... JF inataka mchezo...?
 
helloo!!!!! someone switch off the TV, maswala nyeti ya serikali yanapojadiliwa wananchi hawapaswi kusikia tena waambieni na hao TVT(TBC) na STAR TV hakuna kurusha matangazo haya ...shiiiiiiiii........ kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Na hivi ndivyo wanavyotaka Tuandamane! Sasa tufanyeje ilhali nchi ni yetu sote?

Amanigk, na wewe tusaidie kujua pale Caspian Limited ofisini kwa Rostam Kiwalani ni plot namba ngapi vile?!!! Halafu huyu John.... Kyomyuhendo, anafanya wapi kazi vile!!!??? halafu nani vile aliyekua anakwenda BoT kupush malipo? nani aliyelazimishwa na wanene kupatiwa malipo? baadaye Ni nani aliyekwenda kuzibadilisha fedha na ni katika bureu de change gani... naona kama jina linafanana na jina la kampuni inayimiliki jengo moja lililoanguka vile!!?? kwa kuwa unajua zaidi kaka hebu tusaidie

I see, umbea wa Tina una ukweli wote mkuu amanigk. Sikutaka kuandika kila kitu kama alivyoandika nikitaka nawe ujaribu kuumiza kichwa.

They can fool us but we know it better. Wabunge wetu wanatakiwa kuwa imara katika nyakati hizi! Tuwape ushirikiano pindi wakionekana kuelemewa.

Some facts are with us guys
 
Amanigk, na wewe tusaidie kujua pale Caspian Limited ofisini kwa Rostam Kiwalani ni plot namba ngapi vile?!!! Halafu huyu John.... Kyomyuhendo, anafanya wapi kazi vile!!!??? halafu nani vile aliyekua anakwenda BoT kupush malipo? nani aliyelazimishwa na wanene kupatiwa malipo? baadaye Ni nani aliyekwenda kuzibadilisha fedha na ni katika bureu de change gani... naona kama jina linafanana na jina la kampuni inayimiliki jengo moja lililoanguka vile!!?? kwa kuwa unajua zaidi kaka hebu tusaidie

Mmmh Tina hapo umenimaliza Kabisa.Asante kwa huo msaada!!
Hya Invisible nimekuaminia na vichwa vyako vinavyojua kuunganisha matukio humu ndani.Kwa kweli siasa za Bongo kila kitu ni Conspiracy.Watu wanasema A Wanatenda B kumbe walimaanisha C!!!!
 
ur real invisible,, hapa kitaeleweka tu taratibu maana hata Richmond ilianza hivihivi
 
Back
Top Bottom