Nipo Hapa Mbele Ya Flat Screen Yangu Na Pata Matokeo Kupitia ITV THE SUPER BRAND, Naona Ile TV Ya Kada Wa CCM Pale MWANZA Wameshajua UPEPO Unamwendea Vizuri MZEE WA MONDULI, Wameshaufyata.
Meya wa zamani wa Bukoba mjini, Anatory(NCCR) ametangazwa mshindi wa kiti cha Udiwani.
SOURCE:ITV