forex
Senior Member
- Jun 15, 2017
- 197
- 178
Nafikiri ni Sahihi kuwa ni Aliens! Aliens wanakujaga duniani kutafuta madini muhimu ambayo yanahitajika huko kwao! Na tegemea wakija kurudi kwao eneo husika litatikisika zaidi maana takeoff force ni kubwa kuliko ya landing!Hebu kuwa specific, brother. Unajua ulichokiandika ni kitu hatari sana. Nimejaribu kuangalia source uliyoweka haifunguki. Kama source hiyo ni kweli, Basi huo mshindo haukuwa landing ya UFO, bali ni kuanguka na kuripuka kwa chombo cha UFO. Lakini kwa nini mpaka sasa haifahamiki kimeanguka eneo lipi, au ni majini?.