Sua kuna ma professor wanyakyusa wengi tuu, mmoja wapo anahusika na maswala ya bahari kama sikoseiAjabu ni kuwa maendeleo yako Moshi, Arusha na Mbeya.
Ndalichako Sio muhaWaha nasi tumo msitusahau tunaye jembe la kazi Prof.JOYCE NDARICHAKO=waziri wa elimu Tanzania
NaniWahaya sifa tu na kuna ukabila mkubwa sana kwenye kupeana uprofessor, kuna Dr mmoja amesota miaka 20+ hata u associate professor hana akaamua kuachana nao, lakini angekua muhaya angeshakua prof muda mrefu.
Halafu mkoa wao ni masikini wakubwa kutwa kujisifu kijinga kumbe hawana lolote, uprofesa wa makatarasi unawasaidia nini sasa?Tatizo la wahaya ni ukabila, majivuno na ngono.