Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Hujui process za kupata I Professor ndugu bora ungekaa kimya tu.Wahaya sifa tu na kuna ukabila mkubwa sana kwenye kupeana uprofessor, kuna Dr mmoja amesota miaka 20+ hata u associate professor hana akaamua kuachana nao, lakini angekua muhaya angeshakua prof muda mrefu.
Hamna mtu anaweza kukubania uProfessor kama umeandika maandiko ya maana. Huuo Dr itakua alikua ana publish kwenye predatory journals