Kagera/bukoba villages gallery

Kagera/bukoba villages gallery

Mkuu utakuwa mgeni wa Tanzania, kama jijini Dodoma kuna nyumba za nyasi sijui unazungumzia Tanzania ipi
Sio Dodoma tu. Hata huyo mwenyewe kijijini kwao kama zipo ni mbili tatu tu. Wakati kwa Bukoba ndo nyumba za kawaida huko vijijini
 
Kwa Tanzania ya leo izo ni nyumba unaweza kuzipata mkoa na Kijiji chochote ndani ya tz
Bukoba
Screenshot_20190927-125849.jpeg
 
Kwa Tanzania ya leo izo ni nyumba unaweza kuzipata mkoa na Kijiji chochote ndani ya tz
Kama mwanza mjini,kigoma au Dodoma kuna nyumba za nyasi vijijin pakoje?


Kama vijijin pote tz pangefanana bk bas tz ingekuwa inaongoza Kwa maendeleo
 
Kama mwanza mjini,kigoma au Dodoma kuna nyumba za nyasi vijijin pakoje?


Kama vijijin pote tz pangefanana bk bas tz ingekuwa inaongoza Kwa maendeleo
Bichwa la tembo ubongo wa sisimizi
Wapi nimeandika vijijini pote tanzania
 
Takuja Bk siku moja, nimezaa na dada yenu yupo kiziba/Kanyigo hapo.
 
Tanzania yetu hii ni nzuri sana ..Bukoba pazuri sana ..ila sidhanj kama panafikia hata mtwara ..wahaya bana ..nawakubali sana ..muna dada wazuri kweli..
 
Unazungumzia mtwara mjini na Bukoba mjini. Kama ni hivyo unaweza kuwa sahihi.

Ila kama ni kwa ujumla wa mjini na vijijini nakushauri ukajenge kwanza kijijini kwenu. Wahaya sio wenzenu
Tanzania yetu hii ni nzuri sana ..Bukoba pazuri sana ..ila sidhanj kama panafikia hata mtwara ..wahaya bana ..nawakubali sana ..muna dada wazuri kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom