Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,766
Mkuu mimi sio mhaya, msukuma wa Ng'washilalage, Kwimba - Mwanza. Kumbe Mwl, Deus ndiye diwani wa huko, hahahah 1987 -88 jamaa alikuwa mpiga picha, familia mnajiandaa kuanzia saa moja asubuhi ili kupiga picha na jamaa anakuja mchana, pembeni mnaweka redio na baiskeli ya phoenix, kwa usupa staa wa kuwa kamera man jamaa alikula papuchi za kutosha, kama bado yupo basi kuna watu wanazaliwa na "immunity"Basi wewe ni mhaya kwelikweli swali moja majibu buku.By da way msalimie diwani wako mwalimu Deusi.
Nimeishi sana huko kwenu....