Kagera/bukoba villages gallery

Kagera/bukoba villages gallery

Ukiwa nankwende ndani kule, utaambiwa dar kuzuri sana, majumba makubwa kabisa yako dar, ila haimaanishi kuwa dar nzima kuna majumba mazuri, hapana, hata nyumba za hovyo zipo, tena hovyo.
Kwahiyo hata hizo picha si kweli kuwa huko kagera nyumba zote ni tamu.

Kagera inazidiwa na Kigoma.
Bukoba hamna lolote Hata kahama inawazidi Mbali xana kuanzia mijengo mzunguko wa hela na idadi ya Benki nyingi za biashara
 
Bukoba hamna lolote Hata kahama inawazidi Mbali xana kuanzia mijengo mzunguko wa hela na idadi ya Benki nyingi za biashara
Hebu leta vijiji vya kahama tulinganishe na vijiji vvya bukoba.
Uzi huu ni wa vijiji vya bukoba sio miji
Maana mji unakuwa kutokana resources zilizopo na mkono wa serikali.
Ila vijijini ni maendeleo ya mtu mmojammoja
 
Wahaya bwana, yaani unapost nyumba za watu wengine kwa mbweeeeembwe wakati babako mzazi aliezeka ya kwenu na majani ya mgomba.

41.7% ya watoto chini ya miaka 5 mkoani Kagera wamedumaa. Na wao wanaishi kwenye nyumba hizi ulizopost?
Infwakti kila sehemu kuna udumavu wa watoto, na kuhusu majumba ngoja nikuonyeshe kwetu,
9.jpg
21.jpg
36.jpg
 
nina miaka 40+, hii nyumba ilikuwa ni duka la muarabu flani nimesahau jina lake (mhaya wenye asili ya kiarabu) Kishanda -Muleba,
126.jpg
126.jpg
hii nyumba nimezaliwa na nimeikuta hivi hivi hadi leo ipo nashangaa wahaya wenzangu hamtaki kuonyesha majumba kama haya ambayo yapo mengi katika miji ya Muleba, Nshamba, Kamachumu nk
 
Infwakti kila sehemu kuna udumavu wa watoto, na kuhusu majumba ngoja nikuonyeshe kwetu,View attachment 1123198View attachment 1123199View attachment 1123200
nina miaka 40+, hii nyumba ilikuwa ni duka la muarabu flani nimesahau jina lake (mhaya wenye asili ya kiarabu) Kishanda -Muleba, View attachment 1123215View attachment 1123215hii nyumba nimezaliwa na nimeikuta hivi hivi hadi leo ipo nashangaa wahaya wenzangu hamtaki kuonyesha majumba kama haya ambayo yapo mengi katika miji ya Muleba, Nshamba, Kamachumu nk
Uwepo wa mitaa ya na temeke,buguruni,tandika,tandale nk haizuii dar kuwa mkoa wenye watu wake kuwa na unafuu wa Maisha tz
 
Uwepo wa mitaa ya na temeke,buguruni,tandika,tandale nk haizuii dar kuwa mkoa wenye watu wake kuwa na unafuu wa Maisha tz
Na kama nitaa hiyo ni 98% ya makazi yote....kuonyesha nyumba mbili Buganguzi, Kishanda na kuacha 98 za Nsheshe, Rukoma, Nyakibimbili, na Kyamalange ni kuwa "biased"
 
Na kama nitaa hiyo ni 98% ya makazi yote....kuonyesha nyumba mbili Buganguzi, Kishanda na kuacha 98 za Nsheshe, Rukoma, Nyakibimbili, na Kyamalange ni kuwa "biased"
Mkuu huko Nyakibimbili, Rukoma na Nsheshe huwezi palinganisha na vijiji vya mikoa yenu hata siku 1. Watu wamejenga sana.
 
Mkuu huko Nyakibimbili, Rukoma na Nsheshe huwezi palinganisha na vijiji vya mikoa yenu hata siku 1. Watu wamejenga sana.
mkuu ungejua mimi natokea Kahyoro, Mikoni tarafa Butelankuzi ungeelewa nina maana gani.
 
Kweli Bukoba vijijini saafi! Hiyo barabara ni kutoka Rutete, Kahyoro, Nyakabulala, Kikomelo, Butakya, Omulunazi hadi Rushwa?
Unamiaka mingapi umeludi kwenu kayoro? Naje uwa unatumia njia hipi kufika kwenu je unapitia muleba au unapitia ibwera?
 
Uzi huu naona UHAYA (mtoa post)- against REALITY (wachangiaji)
 
Unamiaka mingapi umeludi kwenu kayoro? Naje uwa unatumia njia hipi kufika kwenu je unapitia muleba au unapitia ibwera?
Naperuzi JF kwa kutumia Mac Pro Retina yangu, umeme off grid, I mean nina solar system inayorun Ac, nk. 24/7 hapa kijijini Kahyoro! miaka 6 hata Bkb mjini sijafika maana nina allergy na vumbi na matope ya stand, swali lako ngoja dereva wangu aje maana sijuhi huwa anapitia wapi....
 
Naperuzi JF kwa kutumia Mac Pro Retina yangu, umeme off grid, I mean nina solar system inayorun Ac, nk. 24/7 hapa kijijini Kahyoro! miaka 6 hata Bkb mjini sijafika maana nina allergy na vumbi na matope ya stand, swali lako ngoja dereva wangu aje maana sijuhi huwa anapitia wapi....
Basi wewe ni mhaya kwelikweli swali moja majibu buku.By da way msalimie diwani wako mwalimu Deusi.
 
Back
Top Bottom