instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
- Thread starter
- #381
Hayo maeneo yako poa plus bunena beachDaaah, Kwa pembeni kidogo unaelekea spice kuna kitimoto hatari pale....View attachment 1513002
Hayo maeneo yako poa plus bunena beachDaaah, Kwa pembeni kidogo unaelekea spice kuna kitimoto hatari pale....View attachment 1513002
Hayo maeneo yako poa plus bunena beach
Yap subiri naleta picha.
Kweli bk inapendeza huku nyumba za tembe tunaziona kwenye TVKwa mbali kijiji kimoja huko kyerwa View attachment 1513000
Hii ndo Beach imebaki baada ya ziwa kujaa maji ila kanisa limeiboresha iko poa sanaBunena beach bukobaView attachment 1513038
Hii ni kigoma ukiwa unatokea kibondo
Mkuu kuna hotel ya kati ipo maeneo ya Kibeta unaweza ipata. Niliipenda maana iko eneo tulivu sana kama mwisho wa mji kabisa na mlimani. Ukijichimbia uko unafanya mishe zako bila usumbufu.
Sehemu ya kula bata bkb mjini beach ni wapi mkuu?..Hayo maeneo yako poa plus bunena beach
Hakuna bk bila mgomba hyo unajua ulikoitoa
Hapa patamu balaaBunena beach bukobaView attachment 1513038
Bila Shaka itakuwa ni perfect hotel.Mkuu kuna hotel ya kati ipo maeneo ya Kibeta unaweza ipata. Niliipenda maana iko eneo tulivu sana kama mwisho wa mji kabisa na mlimani. Ukijichimbia uko unafanya mishe zako bila usumbufu.
Shukrani mkuu ni Perfect Hotel. Nimekumbuka bustani za pale nilizipenda sana.Bila Shaka itakuwa ni perfect hotel.
Kama sio itakuwa PK hills hotel.
Perfect hotel hii hapaView attachment 1513190View attachment 1513191View attachment 1513192View attachment 1513193View attachment 1513194View attachment 1513195View attachment 1513196View attachment 1513197View attachment 1513198View attachment 1513199View attachment 1513200
Kati ya kibeta na kivulini kuna majengo mengi yanajengwa naona pamezungushiwa mabati.Shukrani mkuu ni Perfect Hotel. Nimekumbuka bustani za pale nilizipenda sana.
Pia kuna bonge la hotel maeneo baina ya Kivulini na Kibeta tetesi zilidai ni la Mama Salma Kikwete, najua si kweli lakini kwa kutumia uvumi huu utalitambua. Ukiwa downtown unaliona kwa mbali kama unavyoiona Walkguard Annex. Vipi lilikamilika maana ujenzi ulichukua muda.
Safi sana mkuu. Then kuna ile Rwabizi nimeikumbuka.Kati ya kibeta na kivulini kuna majengo mengi yanajengwa naona pamezungushiwa mabati.
Lakin kuna hii kibira plaza ndo imekamilika maeneo ya Kwa kagamboView attachment 1513396View attachment 1513398View attachment 1513399View attachment 1513400View attachment 1513401View attachment 1513402View attachment 1513403