Ndio wasomi wa siku hizi hakuweza kujua Kagame sio wa nch hii.
rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa tanzania ni kama congo!
Wewe mbona kiswahili chako kigumu sana kuelewa ?
Kaka,
Nauliza hivi hiyo chama inasema Jeshi / polisi yetu iko na CCM , ushahidi iko ? Faida gani inapata ?
Nimesubiri kupata jibu lakini bado ! Acha nikuambiye, hivi CCM ikesema :" oneni Chadema na siasa yao yakuiponda Jeshi letu ? " unazani Chadema itasema nini, si watasema :" ooo, Jeshi iko na CCM. Watanzania tunaonewa ".
Halafu jibu la Jeshi itakuwa nini ?
Labda munataka ikuwe kama Misri ?
Jibu naongoja! Hasa hasa wakati wanasema kama Jeshi inabaka, inaua watu wa Mtwara ? Asante
Mbona mengi unasema km vile Chadema ndio wanasema...?wanasema waliobakwa mtwara.
Kwani tatizo ni nini hapa? Sipendi uongozi wa Jakaya kwa vipindi vyote akiwa madarakani kama Rais wa Tanzania. lakini, kutukanwa na kanchi kadogo kama Rwanda is disgusting!! Kisa Jakaya ametaka peace talks and negotiations kwa nchi zile zilizo katika vita ndani ya maziwa makuu.
Jeuri ya kagame ya kupigana vita vya mstuni, anataka kutuletea sie? Hii haikubaliki hata kidogo...
Mkuu hicho ni kiswahili cha Wanyamlenge (M23 - wakongo wenye asili ya Rwanda). Wanyarwanda wengi wanazungumza kiswahili vizuri tu, chukulia Mh.Kagame yuko fluent katika lugha ya kiswahili kuliko M7.hapa mwisho naona wanyarwanda watupu wako kazin. kiswahili chao!
Kagame should get prepared as his days are numbered having critisized and threatened Kikwete publically, he has put a gallon of petrol on fire...take it from this forum...today the 23.07.2013. Please be guided that, Kikwete is a silence killer and will kill him at the right time the right place. just wait and see. My advice is that, he should apologize publically otherwise he is gone. Tanzania has two fronts to hit Kagame. The first one is from goma and the second one from ngara. so lets wait and hear.