Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Mwambie huyo anaekashifu majirani awe loyal kwetu kwanza hatukumpa hiyo kazi arukie mambo ya majirani na kutuexpose kwenye mazozano ya kijinga tukaonekana wote hatutumii akili!!!

kwa akili yako wewe utakalia kubishana na watu barabarani wanaokuambia ukweli ikitokea babayako katembea uchi mtaani badala ya kutafuta vazi umkinge na aibu!!!

kweli watusi ni janga la afrika mashariki! ukipewa ushauri umekashifiwa? kati ya kikwete na kagame aliekashifu na kumtukana mwingine ni nani? unauwezo mdogo sana wa kufikiri au ni bendera fuata kagame.
 
waulize waarabu kwa nini wanaiogopa Israel pamoja na kuwa iko katikati yao..fikiri kabla ya kuropoka kijana, maneno unayosema yatoke kichwani cyo kifuani.

israeli imeingiaje hapo? pia kumbuka waarabu wataendelea kuwa waarabu na si wayahudi. kama watanzania tutakavyoendelea kuwa watanzania na si wanyarwanda. AIBU ILIYOJE KWA HIYO JEURI YA KAGAME NI KWA VILE RWANDA NI NDOGO KAMA ISRAELI? PROPAGANDA MUFILISI. YALE YALE UKIISHI KARIBU NA PROFESA NA WEWE UTAKUWA PROFESA BY INDUCTION! ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO, KAGAME ALIKURUPUKA NA SASA ANAJUTA ! NIKUULIZE, ALISHAWAHI KUWEWESEKA TENA TANGU LILE ONYA LA AFISA MDOGO KABISA WA TANZANIA LA "RWANDA IKUTUCHOKOZA TUTAICHAKAZA" ANGEONGEA RAISI NAFIKIRI ANGEJILETA DAR KUJISALIMISHA !
 
kweli watusi ni janga la afrika mashariki! ukipewa ushauri umekashifiwa? kati ya kikwete na kagame aliekashifu na kumtukana mwingine ni nani? unauwezo mdogo sana wa kufikiri au ni bendera fuata kagame.

mshauri akutume ukanegotiate na waasi wa darfur..
 
israeli imeingiaje hapo? pia kumbuka waarabu wataendelea kuwa waarabu na si wayahudi. kama watanzania tutakavyoendelea kuwa watanzania na si wanyarwanda. AIBU ILIYOJE KWA HIYO JEURI YA KAGAME NI KWA VILE RWANDA NI NDOGO KAMA ISRAELI? PROPAGANDA MUFILISI. YALE YALE UKIISHI KARIBU NA PROFESA NA WEWE UTAKUWA PROFESA BY INDUCTION! ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO, KAGAME ALIKURUPUKA NA SASA ANAJUTA ! NIKUULIZE, ALISHAWAHI KUWEWESEKA TENA TANGU LILE ONYA LA AFISA MDOGO KABISA WA TANZANIA LA "RWANDA IKUTUCHOKOZA TUTAICHAKAZA" ANGEONGEA RAISI NAFIKIRI ANGEJILETA DAR KUJISALIMISHA !

nchi hii imejaa wapumbavu watupu kwa akili yao vita inapiganwa jf..haya mmeshinda basi chagueni kikaragosi akaongoze rwanda vile mmeshamtoa kagame.
 
nchi hii imejaa wapumbavu watupu kwa akili yao vita inapiganwa jf..haya mmeshinda basi chagueni kikaragosi akaongoze rwanda vile mmeshamtoa kagame.
matusi hayatabadili ukweli kamwe kuhusu uhuni wa rwanda na kagame afrika mashariki bali yanzidi kudhihirisha jinsi ulivyo mufilisi sawa na bwana wako kagame .
 
Jeshi vfaa wewe unadhan watapigana kwa mikono na mateke! We wa lin hebu angalia northkore mbona vianajesh vyake vfpi lakn motowake hakuna asiye ujua

kitendo cha kusema General Adam Mwamnyange anakitambi inaonyesha jinsi ulivyogoigoi hata kutafuta taarifa na sipo tayari kubishana na goigoi kama wewe! by the way, nina uwakika utakuwa kwenye makambi ya wakimbizi muda si mrefu kama mlivyozoea na ndicho mnachokitafuta kwani mmeyamiss sana.
 
Jeshi vfaa wewe unadhan watapigana kwa mikono na mateke! We wa lin hebu angalia northkore mbona vianajesh vyake vfpi lakn motowake hakuna asiye ujua
Kwahiyo wewe kwa akili yako JW ina vifaa na utaalamu mkubwa zaidi kuliko Rwanda siyo? Au unadhani ukubwa wa pua ndio wingi wa makamasi?
 
waulize waarabu kwa nini wanaiogopa Israel pamoja na kuwa iko katikati yao..fikiri kabla ya kuropoka kijana, maneno unayosema yatoke kichwani cyo kifuani.
sasa kwa akili yako unailinganisha rwanda na israel? Israel is a chosen nation by GOD Himself. Rwanda ni nchi inayoongozwa na devil's agent anayefurahia kumwaga damu za watu..
 
sasa kwa akili yako unailinganisha rwanda na israel? Israel is a chosen nation by GOD Himself. Rwanda ni nchi inayoongozwa na devil's agent anayefurahia kumwaga damu za watu..
wee interahamwe na huku upo kumbe unaendeleza propaganda zako.
 
wee interahamwe na huku upo kumbe unaendeleza propaganda zako.

Utaita majina yote unayojua, utatukana matusi yote unayojua. Hunipunguzii chochote! Ila hayo matusi yako yanaonyesha umeishiwa cha kusema baada ya kuwaambieni ukweli. At GOD's own time ALL will be unveiled. Kwa taarifa yko me sio mnyarwanda..am a pure Tanzanian. Endelea kupiga kelele tu hapo. Tumewashika patamu!
 
Utaita majina yote unayojua, utatukana matusi yote unayojua. Hunipunguzii chochote! Ila hayo matusi yako yanaonyesha umeishiwa cha kusema baada ya kuwaambieni ukweli. At GOD's own time ALL will be unveiled. Kwa taarifa yko me sio mnyarwanda..am a pure Tanzanian. Endelea kupiga kelele tu hapo. Tumewashika patamu!
Acha kutupotezea muda hapa rudi msituni ukawasaidie wenzako kuiba mihogo ya wacongo,na zile pesa za interahamwe ulizokula kusambaza sumu lazima ulipe mshamba wewe!
 
Hili liwe fundisho JK usiwe unaandikiwa kila kitu, wewe huwa unasema akili ya kwaambiwa changanya na yako. we kila unachoambiwa na kuandikiwa unakubali tu, Hongera sana Kagame.

Hapana, hakuwa anasoma bila kufikiria ila, kwa makusudi kabisa, alikuwa anavuka mstari wa kufikirika aliochora 'kaburu' Kagame! Umefika muda wa kumaliza mgogoro wa Kongo, kama 'WATU' wanataka au la!

Na, ninafikiri, hata wazo la shirikisho la kisiasa na kifedha la Africa Mashariki linabidi kusitishwa mpaka hapo Rwanda na Uganda zitakapostaraabika!
 
THIS IS WHAT WE HAVE TO SAY TO ALL 'EXPANSIONISTS':


580519_642251759119139_1415337688_n.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom