Kagame ndani ya Congo, sisi kiherehere cha nini?

We kweli keng.e yaani vijana wetu wafe kwa ajili ya
Wacongo.

wewe ndo kenge ambaye hujui kwanini wapo pale na wapo kwa ajili ya nani,
mbona waliokuwa lebanon,liberia ,dafur hulalamiki au wale siyo
watanzania.? unless uniambie tanzania ijiondoe uanachama katika umoja wa
mataifa ili isishiriki operation za kulinda amani za un kitu ambacho
hakiwezekani kwa wenye akili labda kwa akili zako za kijinga. (angalizo) samahani kwa kukuita mjinga mkuu siyo tusi hilo
 
Ukitaka kujua jinsi elimu ya Tanzania ni the shitiest in the world. Soma comments za watu hapa.
Wengine hawajui hata kuandika hawana uelewa wa mambo basi ilimradi amejamba ujinga wake hapa.

Nilishasemaga elimu ya tanzania ndio kikwazo cha mambo mengi.


The king.
 
Tanzania imegeuka kuwa OAU/AU lakini kiuchumi taabani.....leo nimesikia wanasema eti Nigeria wakiomba pia tunapeleka kuwatoa Boko haramu
 

we ndo kenge hujui kulinda amani na kupigana yaani kuwa frontline majeshi yetu yameenda Congo kupigana vita isiyotuhusu na tusio nufaika nayo ingekuwaje kama tungepeleka kikosi hicho kulinda tembo wetu.
 
we ndo kenge hujui kulinda amani na kupigana yaani kuwa frontline majeshi yetu yameenda Congo kupigana vita isiyotuhusu na tusio nufaika nayo ingekuwaje kama tungepeleka kikosi hicho kulinda tembo wetu.

Aisee tembo wote wangekimbia hifadhini maana washazoea kuona bunduki moja ya jangili sasa uwapelekee batalian nzima na vifaru juu?
 
we ndo kenge hujui
kulinda amani na kupigana yaani kuwa frontline majeshi yetu yameenda
Congo kupigana vita isiyotuhusu na tusio nufaika nayo ingekuwaje kama
tungepeleka kikosi hicho kulinda tembo wetu.

sasa bwanamdogo mwanajeshi anapokuwa battlefield lolote laweza kutokea kwani wale waliokufa dafur si walikua wanalinda amani? wewe unataka wakishambuliwa wakae kimya. hili suala linataka akili kidogo sana kuelewa afterall pale congo tunatekeleza azimio la umoja wa mataifa.
 
We kweli keng.e yaani vijana wetu wafe kwa ajili ya Wacongo.

Waulize wananchi waishio mpakani kama wao hawasumbuliwi na machafuko yanayotokea Congo. Wale wakimbizi kutoka Congo baba yako ndio anawatunza..?
 
Waulize wananchi waishio mpakani kama wao hawasumbuliwi na machafuko yanayotokea Congo. Wale wakimbizi kutoka Congo baba yako ndio anawatunza..?

Kwa hiyo wanatunzwa na hao wananchi we kijana wa Mulugo.
 

-------- wewe angekufa bibi yako....kama alivyokufa babu yangu ndo ungejua ka Nyerere alikuwa mhaya au Mganda Kyaka. Hili suala hulijui kaa kimya.
 

sio kweli,wambieni waliowatuma kuwa watanzania wagumu kuhadaika.sana sana mtapigwa tu.
 
Wekeni hapa MASLAHI
YA TZ DRC NA SISI KUJIHUSISHA NA HILO TUJUE.NI MIPASHO TU YA
"------"ILITIBUA MAMBO !!
mkuu M23 wakimaliza kongo kesho watakuja kwako na hapa wengi ni wafuasi wa kagame angalia je kuna hata moja ameitaja SA au Malawi? tanzania. why.......? wa muache juma kapalata wetu
 
kweli tz tuna matahira yaan unshindwa kufikiri japo kidogo kuwa congo mizigo yao yote inapita kwetu na lazima tupiganie congo yenye amani ili magari na mizigo yetu iweze kupita kwa amani
 
kweli tz tuna matahira yaan unshindwa kufikiri japo kidogo kuwa congo mizigo yao yote inapita kwetu na lazima tupiganie congo yenye amani ili magari na mizigo yetu iweze kupita kwa amani

Kwanini wameshindwa kujipigania.
 

Still Wewe bado Ni Masikini na Haswa Wa Akili.............. Swine!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…