GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,064
- 126,658
Ukweli hiki ni kiherehere. Tanzania inakwenda DRC kutetea na kulinda raslimali za Congo? Kweli? au nayo inapora?
Itakuwa Kikwete ana maslahi binafsi na hii operation ya kongo, kama kweli anasaidia kuwepo na aman katika nchi za Africa basi apeleke jeshi SOMALIA aone mziki wake.
Kagame sikia. Wewe hakuna asiyekujuwa hapa East Afrika kwa uyafanyayo. Nikuahakikishie kitu kimoja kuwa siku zako hapa duniani zinahesabika. Nobody likes you except for your uncle (Museveni) in Uganda. Hapo Rwanda wananchi wanakushangilia because wanakuogopa kwa uuwaji wako and brutality. Marais wote wa Afrika wanajuwa kuwa wewe ni muuwaji ila wanangoja tu mtu ajitokeze kukumaliza, better believe it, akija kutokea mtu kukumaliza nobody will come to your aide. You are living a sad life.
watu wana ugonvi wao binafsi halafu wanatuahadaa sisi ili tuingie kwenye machafuko,alituahadaa nyerere ugonvi wake binafsi na idd amini na huku idd amin akimdai nyerere wakutane ili wapigane laivu yeye akampelekea jeshi,safari hii piganeni wenyewe labda mna maslai binafsi na huko DRC,haiwezekani wanajeshi wetu wanakufa kila siku wanaacha watoto yatima ,wajane na wategemezi wengine halafu tusijiulize tunatetea maslahi ya nani,hata raisi wa marekan aliwahi kuhojiwa na wabunge wake ni faida zipi wameipata kwa kupeleka jeshi Iraq.Ukiuliza hapa tanzania unaambiwa wanajeshi wanapata uzoefu,kama suala ni uzoefu ni bora tuombe vita ya kirafiki na marekani ili wanajeshi wetu wawe ngangali,kama suala ni uzoefu mbona wanaokwenda vitani wengi ni vijana wadogo wenye miaka chini ya 25,wakati kuna wazee mpaka wanakaribia kustaafu hawajawahi kupigana vita kwa nini wasiende wao,wanaogopa nini,ndio maana vita ya uganda wakati wanazoa wagambo kijijini kwetu babu alikataa na kuwajibu kwamba mmewahi kunipa mshahara wenu siku moja
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Ati?!!!!Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Mkuu Ulipoamkia Leo Naomba Uwe Unalala Hapo Kila Siku. Umenipa Raha Na Kuifanya Asubuhi Yangu Kuwa Nzuri na Yenye Furaha. Akhsante Kwa Post Yako Hii Na Hakika Sasa Wayahudi Weusi Tunaanza Kuongezeka Nchini Tanzania. Watanzania Wa Leo Siyo Wa Jana Kwani Wanajua Pumba na Mchele.
We kenge kweli....huko ulipo Kigali tumbo joto....! Tunaelewa kuwa Kagame na kagenge chake cha wahuni wote sasa matumbo joto..........! Najua unaelewa nani sasa amekuwa gumzo miongoni mwa jamii inayoonewa Rwanda.........wananchi hao wanafurahia kichinichini kipigo mlichopata Congo, na wanaomba sababu itokee.......ili JWTZ waje wamtoe Kenge hapo Kigali...!
Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Wa Kuvunja Matofali Ya Udongo Kwa Kichwa au Kuvunjiwa Mbao Za Kutengenezea Madawati? Mkwara Wa Miaka 50 Ya Muungano Usikupe Jeuri Huna Jeshi La Kupambana Na Kagame na Rwanda Yake na Ukianzisha Tu Vita Na Kagame Shughuli Itaanzia Hapa Hapa Tanzania Kwani Wanyarwanda Wamejazana ktk Kila Idara Yako Nyeti Unayoijua Wewe ktk Nchi Hii. Kama Kweli Tupo Vizuri Mbona Hadi Leo Hatujamkamata Yule Mwanajeshi Jasusi Wa Rwanda Aliyefanya Kazi JWTZ Kwa Takribani Miaka Saba Iliyopita na Akaondoka Laptop Computer Iliyokuwa Na Vitu na Mambo Nyeti Ya Tanzania? Sasa Kama Huyo Mtu Mmoja tu Anatutoa Jasho Kumsaka Je Hii Inaashiria Nini ktk Medani Za Intelligence Na Millitary? Mimi Nawashauri tu Hebu Mwambieni Mjomba Alianzishe Kisha Muone Mtiti Wake!!!!!!!!!!!!!!
na kwa taarifa yako mtanzania mzalendo hawezi kushabikia kuingiza majeshi yetu vitani bila sababu ya msingi kamwe! Kupeleka jeshi congo kutakuwa na maana tu kama nchi yetu itafaidika kiuchumi iwe kwa kuibia congo kama inavyosadikika kuwa rwanda inafanya au vinginevyo! Nje ya hapo kina membe wapeleke ndugu zao au watoto wao kule congo ili wakajue ugumu wa vita!
Wewe ndio mchafu unajua kuna vijana wetu wanakufa huko wanaacha watoto na wajane kwa ajili ya mali za wacongo zinatusaidia nini?
Wewe ndo mpuuzi sisi kupeleka jeshi Congo tunanufaika na nini zaidi ya vijana wetu kuawa huko na kuacha yatima kwanini Wacongo wameshindwa kujilinda,kwanini Marekani hakupeleka jeshi lake.
Tuna maslahi kubwa sana na Kongo, unajua ni asilimia ngapi ya Mizigo ya nje ya Kongo mashariki inapita kutumia bandari ya Dar es Salaam? Nenda Kasanga ziwa Tanganyika ndio utajua tunamaslahi gani na Kongo.Nawashangaa mainterahamwe kushangilia Tanzania kupeleka kikosi kule Congo kupambana na M23 kikundi ambacho kinasemekana kinafadhiliwa na Kagame ili kupora mali za wakongo
Hivi kama Kagame ameamua kutumia fursa kupora mali kwa ajili ya wanyarwanda sisi inatuuma nini? au ndo wivu wa maendeleo, hizo mali za Congo zinatusaidia nini mpaka tuzipiganie, Tumesaidia sana ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara tena kwa kumwaga damu lakini hamna chochote tunachothaminiwa na mataifa hayo leo hii vijana wetu wanamwaga damu kwa ajili ya wacongo ili mali zao zisichukuliwe na mjanja Kagame ambae anazitumia kujenga nchi yake ifike sehemu tuache kiherehere.
Uzalendo upi unaoujua ina maana kuipigania Congo ni Uzalendo????
Wa Kuvunja Matofali Ya
Udongo Kwa Kichwa au Kuvunjiwa Mbao Za Kutengenezea Madawati? Mkwara Wa
Miaka 50 Ya Muungano Usikupe Jeuri Huna Jeshi La Kupambana Na Kagame na
Rwanda Yake na Ukianzisha Tu Vita Na Kagame Shughuli Itaanzia Hapa Hapa
Tanzania Kwani Wanyarwanda Wamejazana ktk Kila Idara Yako Nyeti
Unayoijua Wewe ktk Nchi Hii. Kama Kweli Tupo Vizuri Mbona Hadi Leo
Hatujamkamata Yule Mwanajeshi Jasusi Wa Rwanda Aliyefanya Kazi JWTZ Kwa
Takribani Miaka Saba Iliyopita na Akaondoka Laptop Computer Iliyokuwa Na
Vitu na Mambo Nyeti Ya Tanzania? Sasa Kama Huyo Mtu Mmoja tu Anatutoa
Jasho Kumsaka Je Hii Inaashiria Nini ktk Medani Za Intelligence Na
Millitary? Mimi Nawashauri tu Hebu Mwambieni Mjomba Alianzishe Kisha
Muone Mtiti Wake!!!!!!!!!!!!!!