.....duh, mfano maridadi kabisa....na ukimkaba akakupiga chenga unafanyaje!?
NO.
Alipaswa kupinga chochote kile kinachosemwa na change, kwa sababu tu ni change.
Hakujikwaa
Namjua vizuri sana yule masikini.
Alikuwa anajua nini kitafanyika dakika ya mwisho na akaandaliwa kukipitisha.
Uzuri watu wengi hawana imani naye,sio mtu wa kumtegemea asilimia mia.
]Ni aina ya mchezaji ambaye mko timu mmoja ambaye unapaswa kumuamini baada ya kukupa pasi na sio wakati ana mpira,tena akiwa na mpira ni bora umkabe.
Hatabiliki
Sangarara umemaliza kabisaHakujikwaa
........ ambaye unapaswa kumuamini baada ya kukupa pasi na sio wakati ana mpira,tena akiwa na mpira ni bora umkabe.
Hatabiliki
Chezea mizungusho ya bi kiroboto,..''aaah aaah,mimi nataka formula nzuri ya kuandika''.si huwa wanasema ni mpambanaji asiyechoka.
...... Unampiga Kiatu, Chini Afu Unachukua Mpira
Sangarara umemaliza kabisaHakujikwaa
........ ambaye unapaswa kumuamini baada ya kukupa pasi na sio wakati ana mpira,tena akiwa na mpira ni bora umkabe.
Hatabiliki
....na refa atapeta sio!?
Hakujikwaa
Namjua vizuri sana yule masikini.
Alikuwa anajua nini kitafanyika dakika ya mwisho na akaandaliwa kukipitisha.
Uzuri watu wengi hawana imani naye,sio mtu wa kumtegemea asilimia mia.
Na aina ya mchezaji ambaye mko timu mmoja ambaye unapaswa kumuamini baada ya kukupa pasi na sio wakati ana mpira,tena akiwa na mpira ni bora umkabe.
Hatabiliki