KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,151
kwani sifa ya kugombea ubunge unatakiwa kuwa na degree ngapi?
kwani sifa ya kugombea ubunge unatakiwa kuwa na degree ngapi?
Ungekuwa basi ningekufunga kizibiti mwendo!Acha ungese wewe mtoto wa kiume hao wenye elimu mf mkandara prof,dr dr dr dr kikwe.te,dr mkulo,dr mbilinyi,dr hosea,chenge,lowasa,rostam,dr bana wamelifikisha wapi hili taifa? Kadanganya nchimbi udoctor mbona bado yupo? Sie hatuangalii elimu tunataka kuona kalifanyia nin hili taifa? Elimu yake haitotusaidia kwani wanaoendesha nchi hawana elimu kabisa mf J4 kishimba nenda kaulize ,pia kuna mb mwanza wa ccm ana elimu ya std ii lkn hata aje prof asimame nae kwenye ubunge ashindi:;
Haya nenda kwa mbatia ukachukue posho yako
tunataka atueleze aliipata wapi? hata machali ana haki ya kuhoji iwapo anaelewa kuwa kafulila kalidanganya bunge kuhusu elimu yake?hoja ya msingi ni kafulila atueleze alisoma wapi na lini? kwa kuwa ni kfulila maneno kama ya chuki yameanza,ila kwa lukuvi, nchimbi,mkulo wakihojiwa elimu zao na kuitwa mafisadi wa elimu safi. Atueleze ilipata wapi hiyo BBA
Mkuu kuna Mbunge alikuwa anaitwa Kihiyo wa Temeke alivuliwa ubunge kwa kosa hilojamaa si angekomaa tu aikamate hiyo BBA.Matatizo yameanza sasa.Hivi inawezekana kwa Tanzania,mbunge kuvuliwa ubunge kwa kosa la kudanganya elimu yake?