Habari za kuaminika kutoka katika chanzo kimoja ambacho kwa sasa nisingependa kukitaja.
CCM wameanza mchezo mchafu wa kuchapisha kadi feki za CDM na kuwapa baazi ya wanachama wa CCM kwa masharti yakuzirudisha wafanyapo mikutano yao kwa nia na mazumuni ya kupotosha Umma wa watanzania kwamba CDM haikubaliki kitu ambacho si sahihi.
CCM wameanza mchezo mchafu wa kuchapisha kadi feki za CDM na kuwapa baazi ya wanachama wa CCM kwa masharti yakuzirudisha wafanyapo mikutano yao kwa nia na mazumuni ya kupotosha Umma wa watanzania kwamba CDM haikubaliki kitu ambacho si sahihi.