Kada kindakindaki wa CCM na YANGA nimeingia jamiiforum kwa kishindo

Sasa wananchi mkataeni huyo mbuzi. Mbuzi kwake ni zizini. Sio Jangwani...
Kaka Braza unatuhamisha kwenye ishu ya Coaster mbili za Simba..!!! Hivi uwanja wa Bunju anasepa nao?? Maana unaitwa ng'ombe arena sasa sijui ni wake au jina tu..!!
 
Kaka Braza unatuhamisha kwenye ishu ya Coaster mbili za Simba..!!! Hivi uwanja wa Bunju anasepa nao?? Maana unaitwa ng'ombe arena sasa sijui ni wake au jina tu..!!
Sisi hata toroli tunapanda. Turudi kwenye mada... Huyu mtetezi wa Chama Cha Mambuzi mnamkubalije Jangwani?
 
Sisi hata toroli tunapanda. Turudi kwenye mada... Huyu mtetezi wa Chama Cha Mambuzi mnamkubalije Jangwani?
Huyo mbuzi, kuishangilia Yanga ni chaguo lake na katiba inamryhusu. Tuhame kwenye mada, huhajibu la NGO'MBE ARENA anasepa nayo?
 
Karibu Sana JF
Umejitambulisha Unatokea Chama Cha Mambuzi

UTAKUTANA Na Wengine Wanaotokea Huko
 
Back
Top Bottom