KADA CCM: Rais Magufuli ameacha mtafaruku Zanzibar

Anandika Chilumba (yule mpiga zumari wa JPM)
Matamshi aliyoyatoa Ndugu Rais leo hapa Unguja sikuyatarajia yatoke kwenye kinywa cha mkuu wa nchi, Haya yanamwagia mafuta kwenye moto.
Suala kama la pensheni au matibabu ya mtu aliyewahi kuwa Kiongozi ni la kisheria siyo hiyari ya mtu, Yaan hata umfumanie na mkeo Sheria inakutaka usaini na apewe. Mengine mmalizane wenyewe.
Na kwa kuwa Tumesema siasa zimeisha Basi tujitahidi kuzimaliza kweli, sare za vyama, vijembe na maneno ya ngebe kwenye mikutano ya serikali inawagawa raia.
Siku zijazo wasio wana CCM wanaweza kuacha kuhudhuria mikutano ya Kiongozi mkuu wa nchi kwa sababu wanajihisi wanyonge na wakiwa.
Tuzungumze Maendeleo, kufanya kazi na kubadili maisha yetu, hawa Wakosoaji na wapinzani watakuwepo daima, kuwashambulia katika jukwaa lililolipiwa kodi na watu wote ikiwemo wao si jambo la kiungwana.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Hotuba za Ndugu Rais katika ziara yake visiwani hazijanivutia wala kusisimua. Zimeiacha Zanzibar katika mtafaruku ule ule au mkubwa zaidi.
☝☝☝☝
Waswahili husema _"kenge huwa hasikiagi hadi damu imtoke masikioni"_. Masikio ya Chilumba yameanza kuonesha dalili za damu


!
!
Unasema wasihudhurie? umesahau ule waraka wa wafanyakazi wa tanesco? kwanza wakaambiwa wafike ofisini kwa ajili ya kuandikwa majina na ndipo waelekee uwanjani, agizo. Na nasikia maboti yalihusika kutoa watu unguja kupeleka pemba.
 
Kuna haja ya kusitisha maombi kwa rais ...inaonekana yameanza kumdhuru ...jinsi anavyozidi kuombewa ndivyo anavyozidi kutoka kwenye mstari wa kuwa mtu mwenye hekima na busara ...ana hubiri umoja lkn hana dhamira ya watanzania kuwa wamoja ...ana hubiri amani lkn matamshi yake hayaendani na anavyotenda ...anaomba aombewe lkn mbona inaonekana ndo anazidi kukengeuka? Aisee hapana ...hapana hapana ..aendako siko ....
 
Rais yupo sahihi hotuba mzima ndo mmeona Hilo mbona suala la maendeleo ya viwanda hamseni Na kukataza watu kununiana Na kuchomeana karafuu
 
Anandika Chilumba (yule mpiga zumari wa JPM)
Matamshi aliyoyatoa Ndugu Rais leo hapa Unguja sikuyatarajia yatoke kwenye kinywa cha mkuu wa nchi, Haya yanamwagia mafuta kwenye moto.
Suala kama la pensheni au matibabu ya mtu aliyewahi kuwa Kiongozi ni la kisheria siyo hiyari ya mtu, Yaan hata umfumanie na mkeo Sheria inakutaka usaini na apewe. Mengine mmalizane wenyewe.
Na kwa kuwa Tumesema siasa zimeisha Basi tujitahidi kuzimaliza kweli, sare za vyama, vijembe na maneno ya ngebe kwenye mikutano ya serikali inawagawa raia.
Siku zijazo wasio wana CCM wanaweza kuacha kuhudhuria mikutano ya Kiongozi mkuu wa nchi kwa sababu wanajihisi wanyonge na wakiwa.
Tuzungumze Maendeleo, kufanya kazi na kubadili maisha yetu, hawa Wakosoaji na wapinzani watakuwepo daima, kuwashambulia katika jukwaa lililolipiwa kodi na watu wote ikiwemo wao si jambo la kiungwana.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Hotuba za Ndugu Rais katika ziara yake visiwani hazijanivutia wala kusisimua. Zimeiacha Zanzibar katika mtafaruku ule ule au mkubwa zaidi.
☝☝☝☝
Waswahili husema _"kenge huwa hasikiagi hadi damu imtoke masikioni"_. Masikio ya Chilumba yameanza kuonesha dalili za damu
Tatizo watanzania tulizoea kupewa maneno matamu uku tunaliwa sasa tumepata kiongozi anayetueleza ukweli ili tuweze kuendelea mtu anashindwa kumtambua raisi wa nchi mpaka anafikia hatua ya kutokumpatia raisi mkono wakati huo huo anakwenda kuitaji kupatiwa matibabu kwa mtu huyo huyo anayekataa kumpatia mkono.
Ni haki yeke kweli kikatiba kupewa huduma na serikali na pia katiba hiyo hiyo pia inataka raisi apewe heshima yake, hivyo kama anaona ni haki yake kikatiba kuhudumiwa na serikali pia ni haki yake pia kumuheshimu raisi wa nchi.
 
Rais yupo sahihi hotuba mzima ndo mmeona Hilo mbona suala la maendeleo ya viwanda hamseni Na kukataza watu kununiana Na kuchomeana karafuu
Ilibidi ang'ate kote kote!kwani Aliyoyafanya Jecha we ulipendezwa nayo?
 
Rais yupo sahihi hotuba mzima ndo mmeona Hilo mbona suala la maendeleo ya viwanda hamseni Na kukataza watu kununiana Na kuchomeana karafuu
unaweza kusema hata kiwanda kimoja kilichojengwa?
 
Rais yupo sahihi hotuba mzima ndo mmeona Hilo mbona suala la maendeleo ya viwanda hamseni Na kukataza watu kununiana Na kuchomeana karafuu
Kama anakataza kununiana na kuchomeana karafuu huku anamshambulia Kiongozi mwenye wafuasi wengi uoni kama anatwanga maji kwenye kini??!
 
Nimesikiliza hotuba yote kwa kweli sikutegemea maneno yale yakitoka kinywani mwa mkuu wetu
 
Back
Top Bottom