BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Mshenzi tu huyo dogo, kwanza kwa ushaur tu aache mpira , mana hana hadhi ya kuitwa mchezaji wa mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba wajiandae kushuka daraja
Punguzeni jazba Takukuru wafanye kazi yao.Mshenzi tu huyo dogo, kwanza kwa ushaur tu aache mpira , mana hana hadhi ya kuitwa mchezaji wa mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalieni GSM kaja kuwekeza kisoka sio kutetea kesi za kishambenga hii kesi ni heavy ni kama ya uhujumu uchumi
GSM akiona mambo magumu anawaachia shuka tu kama masai halafu muanze kulia kama mchizi aliyeachwa na hamida
It's Scarsdogo ana ushahidi wote,na kishawapa klabu na klabu imejiridhisha,kifuatacho kuna timu inaweza kushushwa daraja 😀
Hawa ndiyo hufungwa, yaani unatoa tuhuma bila ushahidi - ujinga mkubwa!!
Simba peleka mahakamani huyu mjinga.
..mbavu!wasijekumteka maana simba kumejaa wahaini wakina Hans Poppe waliotaka kumpindua Nyerere
Waende mahakama ipi, mana masuala ya soka hayatakiwi kupelekwa mahakamani.Kwenye hii issue mkipinga kama mikia kuna wachezaji kibao wana evidence ya uchafu wenu na iko ndicho mnachoogopa,huko tff ni tawi lenu hili jambo watalimaliza kiujanja ujanja,ilitakiwa kama nyie muende mahakamani au mkashtaki hata huko tff halafu muone kitakachofuata,nyie ndio mliotuhumiwa ilibidi mreact kidogo halafu muone moto wake
Huyu dogo vinguo anavyovyaa awe makini..wakina tshishimbi wanaweza mpumulia kisogoni
Soma vizuri umuelewe.Huyu dogo inabidi ashikishwe ukuta...Oooh sorry, I mean adabu. Haiwezekani atumiwe kuichafua Simba halafu angaliwe tu.
Yaani Simba iache kutoa rushwa kwa kipa no.1 au 2 wa Yanga, ikahangaike na Kabwili golikipa no.3 ? Kuhongwa kwa kipa Maana yake yeye ni mkali kuliko hao wengine. KWA KWABILI HILI SI KWELI?
Eti Simba imhonge IST kwa ajili ya kadi ya njano. Kwahiyo ikiwa Simba ingetaka apate straight red card ingewalazimu kumhonga Range Rover, yenye thamani zaidi ya IST? Na je, kama Simba ingetaka acheze ila afungishe ingewapasa Simba wamhonge gari aina ya Ferrari au Bhugghatti ?
Siamini kwamba 2 yellow cards thamani yake ni IST.Hata kama gari hiyo ina bei chee lakini hakuna mjinga anaweza kutoa IST kwa ajili ya tukadi tuwili twa njano. AACHE UONGO!
Hahahahaaaa!!! Kwa kuwa ni kawaida yenu wala hatutashangaa.
Khaa!! Hebu huko.Mnaendekeza njaa sana
Mtasema Nini ushahidi ukitolewa? Simba siyo Mara ya Kwanza kujaribu kuhonga wachezaji wa yanga na hata timu nyingine. Je mmeshasahau Mara hi wale wachezaji wawili wa yanga waliorekodi mazungumzo Kati yao na kiongozi mmoja wa Simba na viongozi wa yanga wakaja juu na Mambo yakamalizwa kishikaji..mmesahau ya ulumboka na kado?!atajuta kutoa kashfa pasina ushahidi, amesahau kama mchezaji haitakiwi kuwa shabiki. ndo mana unaona leo Niyonzima yupo simba kesho yupo tena yanga.
nimuambie tu kashajiharibia kisoko na atajuta juu ya hili