OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,222
- 103,821
- Thread starter
- #21
Ashikishwe ukuta mara ngapiHuyu dogo inabidi ashikishwe ukuta...Oooh sorry, I mean adabu. Haiwezekani atumiwe kuichafua Simba halafu angaliwe tu.
Yaani Simba iache kutoa rushwa kwa kipa no.1 au 2 wa Yanga, ikahangaike na Kabwili golikipa no.3 ? Kuhongwa kwa kipa Maana yake yeye ni mkali kuliko hao wengine. KWA KWABILI HILI SI KWELI?
Eti Simba imhonge IST kwa ajili ya kadi ya njano. Kwahiyo ikiwa Simba ingetaka apate straight red card ingewalazimu kumhonga Range Rover, yenye thamani zaidi ya IST? Na je, kama Simba ingetaka acheze ila afungishe ingewapasa Simba wamhonge gari aina ya Ferrari au Bhugghatti ?
Siamini kwamba 2 yellow cards thamani yake ni IST.Hata kama gari hiyo ina bei chee lakini hakuna mjinga anaweza kutoa IST kwa ajili ya tukadi tuwili twa njano. AACHE UONGO!