OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,774
- 102,132
Huyu kaingia kwenye 18 zetu na bahati mbaya wanaomtumia wameshaanza kumkana na wanalaumu TFF eti wamekuwa wakali sana kwenye suala hili.
Dogo anasema line alishavunja baada ya kushauriwa na watu wake kuwa ili Simba isiendelee kukufuata fuata basi vunja line