Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,376
- 105,208
Angalieni GSM kaja kuwekeza kisoka sio kutetea kesi za kishambenga hii kesi ni heavy ni kama ya uhujumu uchumiPorojo tu nyingi,hili jambo mikia wangelibeba kama mikia kulisimamia au kushtaki karma ambayo ingewapata wangejuta,lakini wameshtuka kujifanya kuiachia tff ilisimamie ili suala,mikia ndio watuhumiwa lakini hata huko tff hawajalalamika zaidi ya kudai eti wamewaachia tff hili jambo
GSM akiona mambo magumu anawaachia shuka tu kama masai halafu muanze kulia kama mchizi aliyeachwa na hamida
It's Scars