Kabwe, Kafulila, Kitila, Ben ni Mtandao wa sasa kama wa EL, JK, AC, RA 1995-2005??

Status
Not open for further replies.
Ben,


ilishasemekana wewe ni bingwa wa propaganda.acha spinning hapa.Sipati picha ungeingia kamati kuu,si ungewavuraga wajumbe kwa hoja zako taat ili kuimarisha mtandao wenu.ni siuala la muda tu mlishamtanguliza kafulila huko awaandalie makao.Ubunge kupitia chadema ng'o.naskia unafanya jitihada za kuanzisha fundraising kwa vijana wa mtandao wenu waingie majimboni sasa sijui ni kwa nini usingeipeleka hiyo programa kupitia BAVICHA

Zitto nae,jana alionyesha waziwazi kwamba anawadharau wabunge wa viti maalumu.nitapeleka hoja kamati kuu hili suala lijadiliwe.



Endelea na ID zako lakini jua uvumilivu unakikomo, unacheza michezo ya kitoto sana mdogo wangu
 
Endelea na ID zako lakini jua uvumilivu unakikomo, unacheza michezo ya kitoto sana mdogo wangu
Acha vitisho mkuu mbona CCM mnawaandika majesticaly tena in details na huwa hamsemi na hamtishii watu. Zito juzi ameandika bila kuficha khs Mbowe na gazeti lake. Ili kukisafisha chama ni lazima kwanza tusafishe mamluki wote. kama unapendezwa na yanayozungumzwa na ZITO n his company anzisheni chama chenu. Usilete vitisho vyako hapa jamvin!! Pa.........ka we.
 
Bundi kaishaingia CDM hata NCCR-MAGEUZI, walianza hivi hivi
 
Bundi kaishaingia CDM hata NCCR-MAGEUZI, walianza hivi hivi
Hamna Bundi ndani ya Cdm tunafahamu hii ni janja ya CCM kuivuruga Cdm kupitia hao vijana wenye upeo mdogo wa kufikiri na Short sight mind. Tumeona jinsi NCCR, CUF vilivyokufa kupitia mamluki kama hawa, sasa hv watz tumeelimika hatudanganyiki.
 
Duh! Yangu macho nikishirikisha na ubongo tu.waandishi wa magazeti yetu yaleee wametoa mimacho yote kupata habari za kuchafua! Kazi kwenu
 
ukimya wa cdm juu ya mambo mengi yanayoelekea kuwa kweli yanazidi kuongeza hoja kwa ccm waliokuwa hawana cha kuwasema cdm
 
mtu mmoja anaanzisha hoja halafu anakuja na id za kumwaga kujicomment, who are you foo-lin.ng?
 
Haya ni maneno ya ben saanane unaweza kumsoma hapo chini ni mtu wa aina gani.ni mtu anayependa mgogoro na mivutano.hii nimeibua kwenye mojawapo ya post zake humu...watanikoma mwaka huu alikuwa anamjibu Nguruvi3Nguruvi3,

Asante sana,maneno yako mazito mkuu.I feel a great sense of optimism in spite of the obstacles. That is the power of youth spirit and wise elders. CHADEMA has had its great and low moments, but that is true of all a serious political parties and lands in the world. The energy to draw now from those great moments are embedded in our youth, it is demonstrated in the feat we accomplish when we do great deeds and score remarkable goals

Hata kwenye Management mojawapo ya kitu muhimu ni kuhakikisha unafuatilia kujua kama kuna mgogoro ama la.Taasisi,kampuni au chama chochote cha siasa kisipokuwa na migogoro basi ujue you in a big trouble as a leader.Haiwezekani kusiwe na mgogoro,Human beings are social Animals and agin they are fragile and selfish beings.Vyama vya siasa na taasisi zimeundwa na watu hivyo ni lazima kuwe na migogoro.Kitu muhimu kuliko vyote ni kuhakikisha migogoro hiyo haiendi out of control.cha muhimu ni kujua jinsi ya kukabiliana nayo na kwa muda gani utoke hapo tusonge mbele.na hili ndilo litakalotofautisha taasisi,kampuni,chama cha siasa na vingine

Nakubaliana na wewe na Mwanakijiji kwamba mabadiliko sasa na maamuzi ya kushughulikia mgogoro yafanyike mapema.nimetumia mgogoro kwa sababu hata mabadiliko ni mgogoro kwa sababu it involves the aspiring spirit(Ant-status quo) vs the status quo vinginevyo itazaa defacto.....

From industry, through civil society to the world of research and development, towards the important crucible of leadership, politics and management of development, I call on fellow young Tanzanians today to bury the preoccupation with anger, cynicism and inertia and move in the direction of taking control of the destiny of our nation

Thanx Miss P. Niliwah kumwambia Ben kuwa always maandishi yake hayadanganyi akabisha, hapa ma great thinker tunaona ukweli halisi.
Kamwe wazalendo hatutakubali cdm ivurugwe na hawa waroho wa madaraka. May God be with u.
 
Jamani lakuvunda halina ubani, hata tukatae vipi kukubali ila CDM kuna migogoro ya chini chini kama sio ya wazi ni bora kukemea haya mapema wakati muda upo upande wetu.
Hata kama Ms P ni pandiki ila kuna mambo ni ya kweli na ukiangalia sana Uzushi wa mitaani una 75% ya ukweli.
Ila uhandishi wa Ben na Zitto kwenye social networking sites unaonyesha dhahiri kuna tatizo CDM au wao ndio wana matatizo.
 
Siku zote ukimkosoa ZITO hapa JF wapambe wake watakuita Mdini, Mkabila, Mkaskazini etc. Wajinga wenye upofu wa akili na kigugumizi cha kufikiri wanamtukuza huyu jamaa hata kwa mabaya yake. shame on u.
 
Nilishawai kusema na nitaendelea kusema ndoto ya ZK ni kuwa Rais kijana kama alivyowai kupata kuwa Mwl JKN au Laurent Kabila. Pia napenda kumwambia ZK hiyo nightmare dream anayoota haitakaa itimie kwenye nchi yetu labda azaliwe upya miaka 50 ijayo. Mbinu na nia zenu tunazijua na wala haziwez kumshawishi yeyote mwenye akili timamu.
 
kwani merytina aliyeambiwa amepewa ubunge viti maalumu umemsikia analalamika?....na wewe je ulipewa au hukupewa?
Sina haja ya kumrarua Zitto! ila nachoelewa kama Zitto anadai ubunge umetolewa kama Zawadi ni kumdharau Mama yake (ikumbukwe mama yake alikuwepo kwenye baraza) na pia ni dharau za wazi kwa KITILIA as yeye alichair hii process.

Zitto alikuwa awe hata rais kwa siku zijazo kama angejiweka kando na MAFISADI wa CCM. Kipindiflani Zitto alikuwa na nguvu kubwa CCM kumzidi hata Msekwa.Zitto aliweza kumwelekeza JK on how to deal with mwanaccm flani flani.

Baadaye wajumbe wa CCM walimwogopa na kumchukia Zitto (walihisi hawako salama mbele ya Zitto ndani ya ccm), Zitto alipogundua hili akahamisha mwelekeo kuiota NCCR.

Nawahakikishia wanachama wa CCM wanampenda sana Zitto.
Wajumbe wa mabaraza ya CCM wanamchukia zitto kuliko mtu yeyote manake anaweza kuwaondoa kwenye nafasi zao kupitia kwa JK.
 
Sina haja ya kumrarua Zitto! ila nachoelewa kama Zitto anadai ubunge umetolewa kama Zwawdi ni kumdharau Mama yake (ikumbukwe mama yake alikuwepo kwenye baraza) na pia ni dharau za wazi kwa KITILIA as yeye alichair hii process.Zitto alikuwa awe hata rais kwa siku zijazo kama angejiweka kando na MAFISADI wa CCM. Kipindiflani Zitto alikuwa na nguvu kubwa CCM kumzidi hata Msekwa.Zitto aliweza kumwelekeza JK how to deal with mwanaccm flani flani.Baadaye wajumbe wa CCM walimwogopa na kumchukia Zitto (walihisi hawako salama mbele ya Zitto ndani ya ccm), Zitto alipogundua hili akahamisha mwelekeo kuiota NCCR.Nawahakikishia wanachama wa CCM wanampenda sana Zitto.Wajumbe wa mabaraza ya CCM wanamchukia zitto kuliko mtu yeyote manake anaweza kuwaondoa kwenye nafasi zao kupitia kwa JK.
Kama Zitto ana nguvu hii kwanini hoja zake zinapigwa na Mawaziri? Hawaogopi kunyang'anywa vyeo na JK? Just a pc of thought!
 
Kama Zitto ana nguvu hii kwanini hoja zake zinapigwa na Mawaziri? Hawaogopi kunyang'anywa vyeo na JK? Just a pc of thought!
ndio maana nikakwambia hiviiiii-viongozi wa CCM wa mabaraza yote iwe hata baraza la mawaziri au spika HAWATAKI kusikia jina Zitto, as Zitto amebeba mkono wa jk anaweza kuutumia sekunde yeyote.

Patamu: Zitto hawezi kuutumia mkono wa JK kwenye issues za ujenzi wa Taifa BALI anaweza kuutumia linapokuja swala la MAJUNGU ndani ya serikali na CCM.
Kuna wakati UVCCM wote wanamuangukia Zitto, Baraza la wazazi wanampigia magoti Zitto,
kuna mdada aliwahi kuniambia 2008 kuwa ataongea na Zitto ili amsaidie kupata cheo ndani ya CCM

JK akiachia uenyekiti wa CCM ni wazi Zitto ataanza kuheshimu chama chake CDM au atimue kabisa kuelekea NCCR
 
Mmmh!! kumbe kuna mengi behind the scene. Haya sasa vijana wanaotaka URAIS HAO na kundi lao la Mtandao.
 
ndio maana nikakwambia hiviiiii-viongozi wa CCM wa mabaraza yote iwe hata baraza la mawaziri au spika HAWATAKI kusikia jina Zitto, as Zitto amebeba mkono wa jk anaweza kuutumia sekunde yeyote.

Patamu: Zitto hawezi kuutumia mkono wa JK kwenye issues za ujenzi wa Taifa BALI anaweza kuutumia linapokuja swala la MAJUNGU ndani ya serikali na CCM.
Kuna wakati UVCCM wote wanamuangukia Zitto, Baraza la wazazi wanampigia magoti Zitto,
kuna mdada aliwahi kuniambia 2008 kuwa ataongea na Zitto ili amsaidie kupata cheo ndani ya CCM

JK akiachia uenyekiti wa CCM ni wazi Zitto ataanza kuheshimu chama chake CDM au atimue kabisa kuelekea NCCR


I can see the true color...Zitto ni fisadi kwa mkono wa Rais!! Majuzi alithubutu kumuwakia Magufuli mbele ya Rais, nani angeweza hii??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom