Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
- Thread starter
- #121
hivi kwanini unakuwa na mawazo kimo cha mbilikimo kiasi hiki?Hyo story ilishaletwa humu kitambo sana tena alihojiwa askari mstaafu ambae aliifanya kazi hyo kwa muda usiopungua miaka 25,alihojiwa na waandishi wa habari akaeleza kila kitu mpaka idadi ya watu walionyongwa kuanzia utawala wa nyerere mpaka........
Kila hatua alieleza,huyu kadonoa tu vitu na kuweka hapa