Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,793
- Thread starter
- #21
Baada ya kuhukumiwa, hupewa muda wa kukata rufaa... Rufaa ikishindikana kuna kusubiria msamaha wa rais.... (Msamaha huu si kuachiwa huru bali kupewa kifungo kirefu) kama hakuna inasubiriwa tu rais asaini hati yako na kuvunja kalamu aliyotumia(ishara ya kutotengua maamuzi) ... Hati yako ijishasainiwa kufuatana na ratiba za unyongaji hupangiwa na tarehe yako na kupewa taarifa na wahusika wa unyongaji Kiongozi waoHaya asante. Mnyongwaji huambiwa lini kwa mara ya kwanza kuwa utanyongwa siku fulani na huambiwa na nani?