Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Mara paap, mnyongaji anapelekwa mahakani anakana mashtaka😀😀😀😀
Hapana hiyo haipo.... Maranyingi kama si zote unyongaji hufanyika asubuhi kabla ya saa tatu
Wao wanatimiza tu agizo aliyepitisha hukumu ni mwingine na hata maandalizi yamefanywa na wengine piaWanyongaji huwa ni watu wenye utimamu wa akili na kama ni kweli huwa hawapati effects zozote maishani mwao kutokana na kazi zao hizo.
Vipi upande wa huruma zao zikoje.
Wao wanatimiza tu agizo aliyepitisha hukumu ni mwingine na hata maandalizi yamefanywa na wengine pia
nadhani ni vitu viwili tofauti ndio maana wanasema 'kunyongwa hadi kufa'.je hukumu ya kunyongwa na kunyongwa hadi kufa ni vitu viwili tofauti
Hii dunia ina watu wengi sana wenye roho mbaya kiasi ambacho kazi kama hii inagombaniwa na wengi mno. Nina uhakika hata wangesema watu wa kunyonga bila malipo wangepata.Aisee
Nakumbuka kuna nchi waliweka advert ya kazi ya kunyonga kwa mshahara mnono
Nili apply nikakosa
Duu mkuu kwa kweli umewaza mbali sanaHii dunia ina watu wengi sana wenye roho mbaya kiasi ambacho kazi kama hii inagombaniwa na wengi mno. Nina uhakika hata wangesema watu wa kunyonga bila malipo wangepata.
Watu hatufanani kila mmoja wetu ana fani yake maishani... Kiafya wako sawa japo mwanzoni huwa na maruerue mengi
mkuu hizo nafasi za unyongaji watu zinapatikana kweli au na huku kuna undugunization tu