Kabla ya Samia kuwa Rais nilidhani ni lazima Rais wa nchi atoe hotuba ndeefu

Inavyoonekana mambo yanafanyika kwa utashi wa Rais aliyepo.

Itakuwa hakuna muongozo maalum kwa mujibu wa Katiba.
Of course mimi wakati mwingine nilikuwa nachoshwa sana na mahotuba marefu yaani unasinzia mpaka unaamka lakini unakuta katika yoote aliyoongea linalohitajika na mawili matatu tu sasa haya mengine ya kazi gani mf mtu anaanza kukusimulia historia mara stori ya nchi fulani mara majigambo mara nn hii ilikuwaga inaniboa sana. Ukweli ni kwamba yapo mazingira ambayo raisi ni muhimu ahutubie kwa urefu hasa akiwa ana address mambo in general au anaelezea maono yake na labda kama kuna mambo ameamua kuyafanyia ufafanuzi lakini sio kila wakati
 
Rsis alikuwa Ana hotuba ndefu na iliyojaa madini yote alikuwa Hayati Pombe Magufuli, Tena bila ya kusoma hotuba yenye. Kile ni kichwa. RIP Magufuli.
 
Back
Top Bottom