Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,571
- 3,055
Wai chato kafagilie kaburiKwa hiyo haya yanahusiana nini na urefu au ufupi wa hotuba!?
Wai chato kafagilie kaburiKwa hiyo haya yanahusiana nini na urefu au ufupi wa hotuba!?
Raisi Ana Mambo mengi ktk nchi, lazima aongee muda mrefu kugusa na kufafanua Mambo mbalimbali yanayotokea nchiniKatika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita. Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.
Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu. Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!
Then amwage mitusi, halafu akimaliza apige push ups, ale mahindi ya kuchoma hadharani na kupiga ngoma.?Raisi Ana Mambo mengi ktk nchi, lazima aongee muda mrefu kugusa na kufanya Mambo mbalimbali yanayotokea nchini
Raisi kuwa na hotuba fupi ni kigezo Cha udhaifu.
Unaongelea ajenda ya msingi tu vipi hayo mengine utatenga lini muda kuyaongea kwa wananchi?
Wananchi wanahitaji kusikia Mambo mengi kutoka kwa Raisi wao kuhusu umeme, Maji, miundombinu, gharama za maisha, afya nk
Hayo uliyotaja hayajawahi kufanyika ktk hotuba mojaThen amwage mitusi, halafu akimaliza apige push ups, ale mahindi ya kuchoma hadharani na kupiga ngoma.?
Huu ujinga tuliuzika Chato tarehe 27/03/ 21, hautarudi tena Tanzania
Mkuu nimechoka sana!! Hivi kutoa hotuba ndefu fupi kinahusiana na mtu kuwa shallow - sio shollow. Haya bwanaKama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi
Like si tongozajiFundi wa maneno kikwete Bwana
Tumepigwa na kitu kizito kichwaniKama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi
Mahusiano yapo sana tu. Mtu asiye na materials kichwani huchukua tahadhari ya kuongea maneno machache kwa sababu hana hakika na anachoongea na anaogopa kukosea. Tazama speech na Nyerere, Mbowe na Lissu. Wanajiamini wanatiririsha vitu mpaka unasisimka.Mkuu nimechoka sana!! Hivi kutoa hotuba ndefu fupi kinahusiana na mtu kuwa shallow - sio shollow. Haya bwana
AKILI YA KUONGEA MENGI ANAYO? KAMA HANA USITEGEEMEE KUONA ANAONGEA SANA,, ATAONGEA NN NA HAJUI CHA KUONGEA.Katika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita. Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.
Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu. Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!
Hotuba inategemea kuna yapi yakusema,, kuna siku kaongea masaa matatu huyu kama fidel CastroFlash ya 5mb unataka iweke movie ya 1gb
Mwache apumzike Bibi yetu
Kama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi
Flash ya 5mb unataka iweke movie ya 1gb
Mwache apumzike Bibi yetu
Msukuma mwenzenu alikuwa anatoa hotuba ndefu zenye pumba na matusi juu,
Kenge nyinyi
Nafikiri suala la msingi ni ujumbe kusudiwa kufika kwa walengwa. Hotuba ndefu ni kuwachosha tu wasikilizaji na kuawapotezea muda ambao wangeutumia kwenye uzalishaji mali.Kama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi
Yule kichaa alikuwa anaongea Nini zaidi ya Matusi na uongo na kusifia wake za watu tu....AKILI YA KUONGEA MENGI ANAYO? KAMA HANA USITEGEEMEE KUONA ANAONGEA SANA,, ATAONGEA NN NA HAJUI CHA KUONGEA.
kwa nini mnamuweka huyo kichaa kama standard.Yule kichaa alikuwa anaongea Nini zaidi ya Matusi na uongo na kusifia wake za watu tu....
Hotuba ndefu ni verbatism tu na plagiarism. Kiongozi anatakiwa kuwa straight to the point, siyo kuzungumza mambo kibao hadi anachosha kama mwendazakeKama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi