MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
...natamani kuuliza kwanini maandiko yanambana zaidi binti 'aachane na wa kwao,' 'amsujudie mume,' na yada yada nyinginezo, bila kumkufuru Mwenyezi Mungu.
Mkuu Mbu wakati nasoma maandiko kwenye Biblia nilipokutana na neno "Umsujudie" nikawa najiuliza kwanini hawakusema "Umuheshimu"
Mi nawazaga tu haya maandiko nani aliyaandika/vumbua/pokea toka kwa MUNGU, je alikuwa Me au Ke?