Kabla ya ndoa ujifunze lipi


Luke 13:34...."Yerusalemu! We Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, Lakini wewe umekataa"

au?

Reveletion 12:14 "
But the two wings of the great eagle were given to the woman, so that she could fly into the wilderness to her place, where she was nourished for a time and times and half a time, from the presence of the serpent."

bht chagua moja bana, usituzingue hapa....maandiko gani hayo yasopatikana?
 
Mbu, hapo sina la kuchagua, mimi namaanisha mume awe ubawa mmoja na mke ubawa mwingine (hii haipo kwenye funuo za biblia).
sasa si mambo ya mmoja kutii na mwingine kupenda.
Mbu, sijachagua hapo ila pia sikuzingui.

Walakini nimeguswa sana na umahiri wako wa kuleta mamlaka ili kuyapa nguvu unayoyazungumza.
 
Reactions: Mbu

...lol....bht, napenda somo la history, inanisaidia kupekua... usiku mwema nawewe.
 
Mkuu umetoa darasa la ukweli, ubarikiwe sana.
 
Maandiko matakatifu yaliandikwa na wanaume, kwa hiyo haishangazi.
Hapa siswala la mwanaume alieandika maandiko, cha msingi ni kujua maandiko yameletwa kwetu na mungu kupitia watumishi wake, mboan kuna waandishi wa kike pia walihusika.
 
Hapa siswala la mwanaume alieandika maandiko, cha msingi ni kujua maandiko yameletwa kwetu na mungu kupitia watumishi wake, mboan kuna waandishi wa kike pia walihusika.
Haitokuwa vibaya, kwa kuelimishana tu, kama ukatuwekea mifano ya wanawake waliohusika, kwa kuandika au kushirikishwa katika andiko lolote takatifu: Taurat, Zaburi, Biblia, Quran....
 
labda kwa wazungu
 
Ujumbe mzuri sana huu nashukuru sana mkuu kwa kutukumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…