bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,105
Mzee mmoja wa lile kabila
linalopenda pesa kuliko wali,
alipata ajali mbaya akiwa
hajitambui akapelekwa
hospitali, hatimae Mungu
akamsaidia akatoka kwenye 'coma'. Akaangalia akaangalia
akamwona mwanae wa
kwanza;
MZEE: Ambrosi
AMBROSI: Nipo baba
MZEE: Hendri HENDRI: Nipo baba
MZEE: Lilian,
LILIAN: Nipo baba
MZEE: Mama yenu yuko wapi?
MAMA: Nipo baba
MZEE: Mungu wangu wote mmesubaa hapaa,.
Kule dukani yuko
nani?
linalopenda pesa kuliko wali,
alipata ajali mbaya akiwa
hajitambui akapelekwa
hospitali, hatimae Mungu
akamsaidia akatoka kwenye 'coma'. Akaangalia akaangalia
akamwona mwanae wa
kwanza;
MZEE: Ambrosi
AMBROSI: Nipo baba
MZEE: Hendri HENDRI: Nipo baba
MZEE: Lilian,
LILIAN: Nipo baba
MZEE: Mama yenu yuko wapi?
MAMA: Nipo baba
MZEE: Mungu wangu wote mmesubaa hapaa,.
Kule dukani yuko
nani?