JWTZ yakamata maafisa wanne wa Rwanda nchini Congo

JWTZ yakamata maafisa wanne wa Rwanda nchini Congo

Wewe lazima utakuwa ni mhamiaji haramu hiyo Mifano yako ni Fake kumbuka Kulikuwa na Kambi za kijeshi pale moro lushoto na sehemu zingine zilisheheni Asikari wa ANC wa South Africa ,Namibia msumbiji na Nchi zote tulizodhamilia kuzikomboa na haikuwa vita za maneno zilikuwa vita za vitendo Ndio Maana ukombozi ulipatikana na Idd Amin alivamia Tz akachapwa mpaka akakimbia mwenyewe acha hizo
yani wewe ni small thinker,umeshindwa kabisa kuielewa sarcasm ya mkuu ITEGAMATWI
 
Kweli mkuu upo sahihi, Rwanda Inatisha wale JWTZ ni maneno tu lakini hamna kitu. Ndiyo maana walimsema sana Idd Amin mpaka akaondoka kwa hiyari ikulu ya Kampala. Hawakuishia hapo wakaenda kuwasema kweli Wareno wa Msumbiji mpaka wakaona haya wakaondoka wenyewe kwa hiyari na kuiacha Mozambique ipate uhuru wake. Wamewasema sana makaburu wa South Africa kabla ya uhuru wa SA mwaka 1994 . Walikuwa tayari wameshaandaa maneno yao ya mipasho dhidi ya Kanali Bakari kule ANJUAN Comoros mpaka jamaa kwa aibu kubwa akajifunga baibui akakimbia.
Hawa JWTZ hovyo sana nasikia pia waliwasema sana wakoloni huko Angola,Namibia na Zimbabwe mpaka makaburu wakawa wanaona aibu.

JWTZ ni maneno tu ndiyo wanaweza lakini vita hawawawezi watutsi, SI ETI EENH?

Mkuu minyoo usikurupuke utaonekana kituko, Rudia tena kumsoma umwelewe.! :ranger:

Wewe lazima utakuwa ni mhamiaji haramu hiyo Mifano yako ni Fake kumbuka Kulikuwa na Kambi za kijeshi pale moro lushoto na sehemu zingine zilisheheni Asikari wa ANC wa South Africa ,Namibia msumbiji na Nchi zote tulizodhamilia kuzikomboa na haikuwa vita za maneno zilikuwa vita za vitendo Ndio Maana ukombozi ulipatikana na Idd Amin alivamia Tz akachapwa mpaka akakimbia mwenyewe acha hizo
 
Last edited by a moderator:
Futa JWTZ na uweke UMoja wa MAtaifa wanaolinda amani nchini KONGO (MONUSCO)
 
Wale washenzi wa M23 walisema MONUSCO wakiondoka wanarudi tena.

Kuna haja ya kuhang around for a while kwa sababu mbili - kwanza kuhakikisha washenzi hao hawarudi, pili kuwapa vijana wetu waliofanya kazi kubwa likizo na posho ya shukurani toka UN.
 
askari wa umoja wa mataifa wanaolinda amani nchini kongo (monusco) , wakiongozwa na jeshi la wananchi tanzania (jwtz) , wamedai kuwakamata maofisa wanne wa ngazi za juu kabisha wa jeshi la rwanda wakiwa wanawasaidia waasi wa m23. Maafisa hao wanashikiliwa kwa mahojiano

habari imeendelea kusema kuwa kukamatwa kwa maafisa hao na kusambaratishwa kwa waasi wa m23 kumefanikisha kushinda vita hiyo kwa 95% na kwamba tayari monusco wanaoongozwa na jwtz wameanza kufurahia ushindi huo na kwamba sasa hivi wanasubiri tamko kutoka kwa wakuu wao, ili kufahamu kinachofuata baafa ya kufanikisha hatua hiyo.

Source:mtanzania.

................kill them all...,......!!
 
Wale washenzi wa M23 walisema MONUSCO wakiondoka wanarudi tena.

Kuna haja ya kuhang around for a while kwa sababu mbili - kwanza kuhakikisha washenzi hao hawarudi, pili kuwapa vijana wetu waliofanya kazi kubwa likizo na posho ya shukurani toka UN.

....Na kuchota utajiri wa madini.
 
Tuacheni ushabiki, kwanini utumie heading yenye JWTZ badala ya Monusco?, unaweza kuthbitsha kuwa Jeshi la tz ndio linaongoza huko Goma kama ulivoandka?
 
Yaani wewe unajiona ni miongoni mwa Great Thinkers hapa JF? Kwa kigezo kipi?acha kujiona mawazo yako Binafsi Ndio sahihi huna jipya wewe ni mhamiaji haramu kwa mjibu wa mtiririko wa maoni yako hapa JF ludi Kwenu Rwanda nenda mkabanane kwenye ka Nchi kadogo machachari wezi wa Rasilimali za Congo



Sawa mkuu nimekuelewa.
 
Wale washenzi wa M23 walisema MONUSCO wakiondoka wanarudi tena.

Kuna haja ya kuhang around for a while kwa sababu mbili - kwanza kuhakikisha washenzi hao hawarudi, pili kuwapa vijana wetu waliofanya kazi kubwa likizo na posho ya shukurani toka UN.
Inabidi jeshi la Kongo wapewe mafunzo ili waweze kujilinda
 
564398_1415191908696865_1439013282_n.jpg

tunawakamata , tutawachapa na kuwanyonya macho popote walipo
 
Kweli mkuu upo sahihi, Rwanda Inatisha wale JWTZ ni maneno tu lakini hamna kitu. Ndiyo maana walimsema sana Idd Amin mpaka akaondoka kwa hiyari ikulu ya Kampala. Hawakuishia hapo wakaenda kuwasema kweli Wareno wa Msumbiji mpaka wakaona haya wakaondoka wenyewe kwa hiyari na kuiacha Mozambique ipate uhuru wake. Wamewasema sana makaburu wa South Africa kabla ya uhuru wa SA mwaka 1994 . Walikuwa tayari wameshaandaa maneno yao ya mipasho dhidi ya Kanali Bakari kule ANJUAN Comoros mpaka jamaa kwa aibu kubwa akajifunga baibui akakimbia.
Hawa JWTZ hovyo sana nasikia pia waliwasema sana wakoloni huko Angola,Namibia na Zimbabwe mpaka makaburu wakawa wanaona aibu.

JWTZ ni maneno tu ndiyo wanaweza lakini vita hawawawezi watutsi, SI ETI EENH?

he he heeeh! mkuu nimependa shairi lako.
 
Back
Top Bottom