Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,453
Kika kazi zikitangazwa. Hua kuna kua na majina kama 40% yameshapangwa. The rest ndo ya walala hoi..Uko sahihi mkuu Op makao walifanyishwa usaili gelesha mwaka Jana lakini dk za mwisho watu waliondoka kwa meseji hakuna mtoto wa masikini aliyepata na mwaka huu wamerudia vile vile kwa Op Samia ki ufupi hizi saili hua ni zuga tu wakubwa Wana majina yao tayari ila Mimi nawashauri vijana waombe tu huezi jua pengine ya Jana yanaeza yasiwe ya leo
Kwahyo watu waombe tu huenda ukaambulia
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app