Central Zone
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 243
- 372
Hili swala la la nafasi za kujiunga na Jeshi la ulinzi la wananchi Tanzania ni kuwadanganya na kuwahadaa watoto wa maskini Rais na watu wako chini ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa Bashungwa mngeachana nalo tu hili swala, Kwa jinsi mnavyotaka kujisafisha na kujikosha kwa yanayofanyika ndani ya JWTZ na sio kusumbua watoto wa watu, kiukweli ni uhalisia unaofahamika kuwa sahili zote za Makambini Za Vijana Wa Kujitolea Ndani ya jeshi la kujenga taifa bila kuwa na mtu nyuma huwezi enda jwtz hata wenyewe Wanakwambia kwamba hakuna miujiza hiyo pale ni maelekezo tu.
Hizi zinazofanyika kudanganya watoto wa masikini kwamba ni usahili tangu wapo operation makako makuu Dodoma mpaka hawa operation samia hakuna kitu ni rollcall tu ya geresha ili mpate uhalali wa kupitisha watoto wenu wenye maelekezo kwa kisingizio usahili ulifanyika na waliopatikaa ndo hao. Hakuna kitu kama hicho ni kusumbua watoto wa watu.
Sawa kujitolea ni swala moja na kuajiriwa ni swala jingine lakini kama mtu kajitolea kwa miaka miwili na zaidi na nafasi zimetoka sifa na vigezo anavyo inakuaje anaachwa halafu anaenda kuchukuliwa mtu tu aliye nje ya mfumo huko eti kisa tu mkuu anasali nae kanisani ameona kwaya inaimba vizuri anasomba wanakwaya waende jeshini halafu tena watu hao hao wanafika kule wanatoroka au Mnajaza nafasi na kina Ibra Classic halafu tena anatoka unfit
Rais Samia ni heri ingefanyika kama kwa Hayati Magufuli kwamba kama wote wamerudi, warudi wote sio wengine walime na kujitolea si zitoke za ajira wachukuliwe ambao hawakupita kabisa kwenye haya mafunzo ya awali, miaka zaidi ya miwili halafu warudi, kisha watoto wenu na ndugu zenu waliopo uraiani hawajui lolote kuhusu kujitolea mnawapeleka na maelekezo mazito
Kwa mfano kuna hili la juzi vijana waliopo makambini oparesheni samia suluhu walifanya huo wanaoita usahili, yamekuja majina ni watu wale wale waliokwama kule oljoro meseji zilizo zuiliwa ndo yamekuja tena na wengine wamesomwa majina yao tena wakati waliisha andikishwaga(ajiriwa) ni pte sasa hivi Kama kuna kijana anaitwa Abdallah isike huyu alikua kikosi cha oljoro na wengine wengi tu waliisha andikishwaga(ajiriwa) lakini majina yao yamerudi tena hii maanaake nini?
Na sasa hivi tena mmefanya kitu ambacho hakija wahi fanywa na jeshi ili tu mjikoshe katika kuhalalisha kwamba nafasi zilitangazwa lakini sio kweli ni Mnarudisha majina ya watoto wenu tuu ambao majina ni yale yale ya pdf zilizo zuiwa oljoro kwenye ile intake ya 41 ..
Lakini ndani ya jeshi kuna watu ambao bado ni waadilifu sana lakini wanasiasa ndo wanaharibu jeshi letu lilio imara.. lakini ipo siku VIJANA WATACHOKA there is always a first time in everything.
Hizi zinazofanyika kudanganya watoto wa masikini kwamba ni usahili tangu wapo operation makako makuu Dodoma mpaka hawa operation samia hakuna kitu ni rollcall tu ya geresha ili mpate uhalali wa kupitisha watoto wenu wenye maelekezo kwa kisingizio usahili ulifanyika na waliopatikaa ndo hao. Hakuna kitu kama hicho ni kusumbua watoto wa watu.
Sawa kujitolea ni swala moja na kuajiriwa ni swala jingine lakini kama mtu kajitolea kwa miaka miwili na zaidi na nafasi zimetoka sifa na vigezo anavyo inakuaje anaachwa halafu anaenda kuchukuliwa mtu tu aliye nje ya mfumo huko eti kisa tu mkuu anasali nae kanisani ameona kwaya inaimba vizuri anasomba wanakwaya waende jeshini halafu tena watu hao hao wanafika kule wanatoroka au Mnajaza nafasi na kina Ibra Classic halafu tena anatoka unfit
Rais Samia ni heri ingefanyika kama kwa Hayati Magufuli kwamba kama wote wamerudi, warudi wote sio wengine walime na kujitolea si zitoke za ajira wachukuliwe ambao hawakupita kabisa kwenye haya mafunzo ya awali, miaka zaidi ya miwili halafu warudi, kisha watoto wenu na ndugu zenu waliopo uraiani hawajui lolote kuhusu kujitolea mnawapeleka na maelekezo mazito
Kwa mfano kuna hili la juzi vijana waliopo makambini oparesheni samia suluhu walifanya huo wanaoita usahili, yamekuja majina ni watu wale wale waliokwama kule oljoro meseji zilizo zuiliwa ndo yamekuja tena na wengine wamesomwa majina yao tena wakati waliisha andikishwaga(ajiriwa) ni pte sasa hivi Kama kuna kijana anaitwa Abdallah isike huyu alikua kikosi cha oljoro na wengine wengi tu waliisha andikishwaga(ajiriwa) lakini majina yao yamerudi tena hii maanaake nini?
Na sasa hivi tena mmefanya kitu ambacho hakija wahi fanywa na jeshi ili tu mjikoshe katika kuhalalisha kwamba nafasi zilitangazwa lakini sio kweli ni Mnarudisha majina ya watoto wenu tuu ambao majina ni yale yale ya pdf zilizo zuiwa oljoro kwenye ile intake ya 41 ..
Lakini ndani ya jeshi kuna watu ambao bado ni waadilifu sana lakini wanasiasa ndo wanaharibu jeshi letu lilio imara.. lakini ipo siku VIJANA WATACHOKA there is always a first time in everything.