huo ugomvi hautaisha na ndio kwanza unazidi kukuzwa.
afande:kuruta makofiiiiiiiiii
kuruta😛a pa pa pa....
afande:sengwile makamandaaaaaa...
kuruta:sengwile makamanda..
afande:nalela kumanya...
kuruta:aiyeeeeeeeeeeeeeee
afande:kazi ya jeshi ni ngumu
kuruta:aiyeeeeeeee
afande:yahitaji kuvumilia
kuruta:aiyeeeeeeee
afande:usiwe kama polisi
kuruta:aiyeeeeeeeee
afande😛ushapu kwenye godoro
kuruta:aiyeeeeeee
afande:uwe kama lisoja..
kuruta:aiyeeeeeee
afande😛ushapu kwenye kokoto
kuruta:haiwezekani kamanda kupigwa na polisi
kuruta:haiwezekani kamanda kupigwa na polisi
afande:usiwe kama polisi
kuruta:aiyeeeeeeeee
afande:kutwa kucha nakirungu
kuruta:aiyeeeeeeeeeeeee
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
afande:
ole wako siku nimeshuka ubungo nakuona umekunjwa na polisi au teja .
hahahaha
mahovyo hovyo....