JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

Mm naonaga mara nyingi wanajeshi huwa wanakuwaga wakolofi Na hawapendi kutii Sheria Na ni wadhalilishaji sana mm siku moja nimeshudia mwanajeshi anamchania mwanamke nguo maziwa yote yakabaki nje tena mbele za watu.
Kisa kile kiblauzi kilikuwa kinatualama twa kijeshi.
hiyo imekaa poa!
 
Wanajeshi wengi bangi na shule yao ndogo.afu pia wanajesh huwa wanawaonea wivu police kimaslahi,maana ingawa police wanalipwa kidogo kuliko wanajesh lakin police wengi wengi wamejijenga kiuchumi kuliko wajeshi.
Si kweli kabisa wanajeshi wanalipwa vizuri na wana mikopo ya kila Aina hawawezi kuwaonea wivu police labda ni ukorofi wa askari mmoja mmoja tu; lakini wanajeshi wengi hawana tatizo na polis kabsa.
 
Polisi na wanajeshi hawana tatizo wanaishi pamoja kwenye nyumba za kupanga isipokuwa hutokea mara moja moja kupishana Lugha, na hii ni hali ya kawaida tu haiathili mahusiano hayo.
 
Mimi nasema wapigwe tu maana wamezoe kuonea raia, hakuna jinsi nyingine, hongera mjeda.
 
huo ugomvi hautaisha na ndio kwanza unazidi kukuzwa.

afande:kuruta makofiiiiiiiiii
kuruta😛a pa pa pa....
afande:sengwile makamandaaaaaa...
kuruta:sengwile makamanda..
afande:nalela kumanya...
kuruta:aiyeeeeeeeeeeeeeee
afande:kazi ya jeshi ni ngumu
kuruta:aiyeeeeeeee
afande:yahitaji kuvumilia
kuruta:aiyeeeeeeee
afande:usiwe kama polisi
kuruta:aiyeeeeeeeee
afande😛ushapu kwenye godoro
kuruta:aiyeeeeeee
afande:uwe kama lisoja..
kuruta:aiyeeeeeee
afande😛ushapu kwenye kokoto
kuruta:haiwezekani kamanda kupigwa na polisi
kuruta:haiwezekani kamanda kupigwa na polisi
afande:usiwe kama polisi
kuruta:aiyeeeeeeeee
afande:kutwa kucha nakirungu
kuruta:aiyeeeeeeeeeeeee

>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
afande:
ole wako siku nimeshuka ubungo nakuona umekunjwa na polisi au teja .

hahahaha

mahovyo hovyo....
Jkt wanaojiunga na Polisi mwanzoni wanakuwaga na dharau kama hizo lkn depo likikolea husikii wakiendelea na dharau hizo
 
Kama umesikiliza clip ya mke wa Waziri Mahiga na polisi ndio utajua kwanini wanapigana hawa jamaa. Polisi kuna busara ndogo sana ya kiuongozi wamekosa ndipo tatizo linapoanzia hapo jambo dogo la kumaliza kiuongozi au kama kiongozi unawaza pesa au unalifikisha ngazi za juu.
Ingelikuwa JW huyo mama angechapwa makofi...

Usifananishe Busara ya polisi ma busara ya JW... Naweza kusema kati ya taasisi zenye nidhamu na busara polisi wanaongoza
 
JWTZ ni rafiki sana na raia(wako karibu) ni waungwana na wema sana..POLISI ni ndumilakuwili,mabingwa wafitina na wakandamizaji wa raia ili wapate maslahi......kwa watu wenye mitizamo hii tofauti kamwe hawaezi kukaa pamoja...
Kwa mfano.
POLISI husababisha foleni makusudi..sasa kama JWTZ wapo katika foleni inawauma sana kuona raia LANE yao inarukwa hata mara tatu......Hujitoa kwa ajili ya wananchi na pengine kumzaba hata makofi trafiki POLISI......na huwa haiishii hapo mzozo mpaka vilabuni na kitaaaa.
 
Mwenye habari kamili iliyoandikwa na gazeti la uhuru aiweke hapa tuisome tujue ilikuwaje?
 
Labda polisi wajinawajinga lakini nimewahi kuona jw wakila kichapo cha nguvu kisa walitaka kuingia uwanjani kwa nguvu ndipo wakakutana na wenzao wa kofia nyekundu na watu wengi wakabaki midomo wazi
 
Vinyota moja na mbili vya jeshi asilimia 89% vina Elimu ya form six...havina Elimu ..akati police form six Elimu ya kawaida sana....

Private wengi ni darasa LA saba na four za ajabu zenye ka D kamoja ka kiswahili....
.....

......Mkuu unazungumzia jeshi gani
 
Vinyota moja na mbili vya jeshi asilimia 89% vina Elimu ya form six...havina Elimu ..akati police form six Elimu ya kawaida sana....

Private wengi ni darasa LA saba na four za ajabu zenye ka D kamoja ka kiswahili....
Jeshi la nchi gani mkuu? Na la mwaka gani? Fanya utafiti vizuri halafu urudi hapa!
 
Back
Top Bottom