JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

Wanajeshi wengi bangi na shule yao ndogo.afu pia wanajesh huwa wanawaonea wivu police kimaslahi,maana ingawa police wanalipwa kidogo kuliko wanajesh lakin police wengi wengi wamejijenga kiuchumi kuliko wajeshi.
Una uhakika na unayoandika au ni akili zako zinakutuma. Nenda na Bachelor au Master yako Jeshini uone kama utapata kazi kiurahisi kwa sababu unadhani huko hakuna wasomi au ufikiri utajikuta upo peke yako na hizo degree. Kwa taarifa yako wewe ndiye huna ELIMU. Kule kuna mpaka PhD na Maprofesor pia wapo. Nenda kajielimishe ndiyo uje kuandika usilete utumbo wa kijiweni hapa
 
Hizi habari za JWTZ kuwapiga Polisi au Polisi kuwapiga JWTZ huwa ni za kujirudia kila mara

Sijawahi sikia JWTZ kampiga magereza au zimamoto.



Hasa Polisi mnatia aibu sana! kila siku mnakungutwa nyie! JWTZ wana nini cha ziada cha kuwapiga kila siku. Mbona mnatukunguta sana mkitukamata sisi raia!


JWTZ na POLISI mna ugomvi gani usioisha? sijawahi sikia viongozi wa Polisi au JWTZ wakiliongelea hili.
ni kwamba, kiutawala, JWTZ ni maboss wa askari, hata kiweledi tu na kila kitu. sasa polisi hilo huwa hawataki kukubali, wanataka na wao waonekane wa maana na wana nguvu na heshima kama ile wanayopokea JWTZ. hao wanajeshi wanakuambia polisi ni raia wakakamavu tu wala si askari, kwao ni kama mgambo tu.
 
Police mbona wanapigwa hata na raia!!!nini ajabu mwanajeshi.

Na wanajeshi wanatandikwa mara nyingi tu, na raia na police pia.


Ukitaka ujue mwanajeshi ni mwoga kudhalilika kuwepo na vipolisi flani hivi vinavaa kofia nyekundu hata kama kaonewa atakausha mwana haramu apite.
 
Aisee mkuu hii kitu imekatazwa. Yaani ungeweza kurekodi tukio mpaka muda huu huyo mwanajeshi angekua Segerea ananyea ndoo. Sasa hivi wakubwa wao wameweka sheria kali dhidi ya askari wao ambao miaka ya nyuma kidogo walijitia uwendawazimu ktk matendo yao. Mfano mara kufunga mtaa na kutembeza kisago kwa anayehusika na asiyehusika.
Wangeanza na zile nyimbo za kukashfu polisi wanapokuwa mafunzoni hapo ningepaona pana maana kubwa, lakini unaweka sheria huku harafu kule watu wanaimba eti mwanajeshi anaweza kwenda na bangi kituo cha polisi nakuvuta mbele ya mkuu wa kituo na hao polisi wasimfanye kitu
 
Mie sio askari, Siku moja nilipark gari mahali nikaizima lkn, sikushuka...kumbe nyuma yangu kwa ktkt imekuja pikipiki imepark pia! Sasa wakati nataka kuondoka kwa kurudi nyuma kidogo nikaigonga ile pikipiki ikaanguka! Nilipo shuka nikakuta mwenye pikipiki amefura kwa hasira na akanimwagia matusi yanguoni kuwa sina akili, nikamshangaa na nikamueleza wazi kuwa hana busara jambo hilo ni dogo tu na kwakuwa hakuna mahali pikipiki ili haribika! Akawaka yule baba!! Nikamwambia any way tu mpigie polisi amalize jambo hilo....!! Kabla sijamaliza nikaona yule bwana a narusha ngumi kuelekea usoni kwangu!! ....kabla ile ngumi haijatua nilipata muda wa kushangaa na kufanya uamuzi! ...ngumi nazijua kiasi hasa kwa mtu asie nijua sio rahisi kunishinda ! ...wakati ngumi yake inakaribia kutua mie nilikuwa nimerusha teke kwa spidi kuelekea kwenye kifua chake... mkono na mguu ukipiga vizuri mguu mrefu!! ...na kwakuwa alitumia nguvu ilisaidia lile teke kuingia kifua ni barabara!! Nikamwona anayumba kuelekea nyuma, si kumpa nafasi kikampiga mtama kwa nguvu! Akaanguka kwa nyuma ya shingo hivi...nilikuwa nimehisi huyu mtu anajua kupigana hivyo wakati anatua chini pembeni yangu niliona kreti yenye chupa za soda nilifanya upesi sana nikamchapa nayo usoni!! Hili tukio limechukua muda kusimulia....lkn mpambano chini ya Sekunde!!

Wakati na namtuliza na kreti yule mtu...ndio nikasikia kele anampiga mwanajeshi! !

******nilifanikiwa kuondoka eneo la tukio jamaa akiwa hoi chini!! Nikavuta rivasi ya nguvu huku nikiigonga tena pikipiki......huyooo ! ! ...nikatokomea...bahati nzuri tukio lile nilifanya ugenini!!
*********
.... Wanajeshi kuwe ni waungwana! !
 
Wanajeshi wengi bangi na shule yao ndogo.afu pia wanajesh huwa wanawaonea wivu police kimaslahi,maana ingawa police wanalipwa kidogo kuliko wanajesh lakin police wengi wengi wamejijenga kiuchumi kuliko wajeshi.

....mh! Wee nawe
 
Hawa jamaa wanavisa na huwa wanadharauliana sana,
Wanajeshi wanawaita polis raia wakakamavu na polis wanawadharau wanajeshi kuwa hawana maendeleo na washamba hawaendi na wakat...
Halafu polis wanajiona wao ni professional kuliko wanajeshi
 
Police wanauwezo mkubwa Wa kufikiri.......tofauti na wanajeshi wao uwezo wao mdogo.....kuna haja ya kuwarudisha shule.
 
Hawa jamaa wanavisa na huwa wanadharauliana sana,
Wanajeshi wanawaita polis raia wakakamavu na polis wanawadharau wanajeshi kuwa hawana maendeleo na washamba hawaendi na wakat...
Halafu polis wanajiona wao ni professional kuliko wanajeshi
Ni kweli mkuu hawana maendeleo.

.na akili zao zimedumaa
 
Una uhakika na unayoandika au ni akili zako zinakutuma. Nenda na Bachelor au Master yako Jeshini uone kama utapata kazi kiurahisi kwa sababu unadhani huko hakuna wasomi au ufikiri utajikuta upo peke yako na hizo degree. Kwa taarifa yako wewe ndiye huna ELIMU. Kule kuna mpaka PhD na Maprofesor pia wapo. Nenda kajielimishe ndiyo uje kuandika usilete utumbo wa kijiweni hapa
Vinyota moja na mbili vya jeshi asilimia 89% vina Elimu ya form six...havina Elimu ..akati police form six Elimu ya kawaida sana....

Private wengi ni darasa LA saba na four za ajabu zenye ka D kamoja ka kiswahili....
 
Na dizaini mpk polisi washaanza kuwaogopa, jana mataa ya moroco wakati tumesimamishwa traffic alipoona lori la wanajeshi ilibidi awruhusu zikapita kama gari 4 tu pamoja na la jeshi, baada ya hapo akatuzuia akaendelea na upande mwingine......nikajua jamaa wameshaanza kunyooka.


hilo halikuwa kosa na wala siyo kuwaogopa mara nyingi gari za jeshi huwa zinapewa kipaumbele maana hujui wanaenda wapi na kuna nin! kwa hilo ni haki hao..tatizo why polisi wanapigwa na jwtz kila mara..ni nadra sana kusikia polisi kampa kipondo jwtz
 
Back
Top Bottom