JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

sirjohn

JF-Expert Member
Aug 6, 2014
767
677
Hizi habari za JWTZ kuwapiga Polisi au Polisi kuwapiga JWTZ huwa ni za kujirudia kila mara

Sijawahi sikia JWTZ kampiga magereza au zimamoto.



Hasa Polisi mnatia aibu sana! kila siku mnakungutwa nyie! JWTZ wana nini cha ziada cha kuwapiga kila siku. Mbona mnatukunguta sana mkitukamata sisi raia!


JWTZ na POLISI mna ugomvi gani usioisha? sijawahi sikia viongozi wa Polisi au JWTZ wakiliongelea hili.
IMG-20160505-WA0066.jpg
 
Hivi wajua physical fitness z wanajeshi? Wana vitengo vingi ambavyo vinakaribiana na commando level.....acha kabisa polisi w mafunzo ya kawaida sana karate basic na general fitness! Wanajeshi wanafundishwa kukupiga na kukuua ndani muda mfupi sana! Hajafundishwa kukamata! Anaua.....!! Hata mazingira, wale wanajeshi wako kambini ful time wako mazoezi kila siku ndio order....polisi akitoka depo....yuko kazini muda mwingi hata mazoezi hawana tena!
Hizi habari za JWTZ kuwapiga Polisi au Polisi kuwapiga JWTZ huwa ni za kujirudia kila mara

Sijawahi sikia JWTZ kampiga magereza au zimamoto.



Hasa Polisi mnatia aibu sana! kila siku mnakungutwa nyie! JWTZ wana nini cha ziada cha kuwapiga kila siku. Mbona mnatukunguta sana mkitukamata sisi raia!


JWTZ na POLISI mna ugomvi gani usioisha? sijawahi sikia viongozi wa Polisi au JWTZ wakiliongelea hili.
 
Mm naonaga mara nyingi wanajeshi huwa wanakuwaga wakolofi Na hawapendi kutii Sheria Na ni wadhalilishaji sana mm siku moja nimeshudia mwanajeshi anamchania mwanamke nguo maziwa yote yakabaki nje tena mbele za watu.
Kisa kile kiblauzi kilikuwa kinatualama twa kijeshi.
 
Mm naonaga mara nyingi wanajeshi huwa wanakuwaga wakolofi Na hawapendi kutii Sheria Na ni wadhalilishaji sana mm siku moja nimeshudia mwanajeshi anamchania mwanamke nguo maziwa yote yakabaki nje tena mbele za watu.
Kisa kile kiblauzi kilikuwa kinatualama twa kijeshi.
Aisee mkuu hii kitu imekatazwa. Yaani ungeweza kurekodi tukio mpaka muda huu huyo mwanajeshi angekua Segerea ananyea ndoo. Sasa hivi wakubwa wao wameweka sheria kali dhidi ya askari wao ambao miaka ya nyuma kidogo walijitia uwendawazimu ktk matendo yao. Mfano mara kufunga mtaa na kutembeza kisago kwa anayehusika na asiyehusika.
 
Na dizaini mpk polisi washaanza kuwaogopa, jana mataa ya moroco wakati tumesimamishwa traffic alipoona lori la wanajeshi ilibidi awruhusu zikapita kama gari 4 tu pamoja na la jeshi, baada ya hapo akatuzuia akaendelea na upande mwingine......nikajua jamaa wameshaanza kunyooka.
 
Aisee mkuu hii kitu imekatazwa. Yaani ungeweza kurekodi tukio mpaka muda huu huyo mwanajeshi angekua Segerea ananyea ndoo. Sasa hivi wakubwa wao wameweka sheria kali dhidi ya askari wao ambao miaka ya nyuma kidogo walijitia uwendawazimu ktk matendo yao. Mfano mara kufunga mtaa na kutembeza kisago kwa anayehusika na asiyehusika.
Nita jitahidi siku moja nifanye hivyo.
 
Huko porini kuna ugomvi mmoja ambao ni very natural; upo tangu mwanzo hadi ukamilifu wa dahari; hauwezi kusuluhishwa kwa namna yoyote kwa sababu kujaribu kufanya hivyo ni kumtakia mmojawapo kifo. Hawa jamaa wanaitwa "eternal enemies" na sio wengine bali ni simba na fisi.

Simba hawezi akavikuta vichanga vya fisi akaviacha ni lazima aviue na fisi naye hivyo hivyo ni lazima aviue vichanga vya simba vinapokuja katika anga zake. Always wao ni mapigano wakigombea msosi na kuuliana vichanga - ndivyo ilivyo kwa JW na Polisi wa nchi hii ugomvi wao hauelezeki wala hauna sababu ila hautaisha - upo tu naturally. Hata kama wakubwa majukwaani watachekeana kinafiki lakini mioyoni wanagombana.
 
Wanajeshi wengi bangi na shule yao ndogo.afu pia wanajesh huwa wanawaonea wivu police kimaslahi,maana ingawa police wanalipwa kidogo kuliko wanajesh lakin police wengi wengi wamejijenga kiuchumi kuliko wajeshi.
Hapo kwenye shule ndogo nadhani unaongelea enzi za mwalimu. Wenye elimu ndogo sasa hivi wanaishia..wapo wachache ambao wanakaribia kustaafu. Sasa hivi jeshi linaajiri wasomi na hata wale ambao waliajiriwa wakiwa na elimu ndogo wanajiendeleza kielimu. Maafisa wa JWTZ karibu wote wanaoajiriwa sasa hivi wana degree zao.

Ni wale askari ndio wanaajiriwa wakimaliza form four.
Tatizo la hawa wanajeshi nadhani si la kielimu zaidi, ni vile wanataka kujionyesha kuwa wana nguvu na mabavu.
 
Hizi habari za JWTZ kuwapiga Polisi au Polisi kuwapiga JWTZ huwa ni za kujirudia kila mara

Sijawahi sikia JWTZ kampiga magereza au zimamoto.



Hasa Polisi mnatia aibu sana! kila siku mnakungutwa nyie! JWTZ wana nini cha ziada cha kuwapiga kila siku. Mbona mnatukunguta sana mkitukamata sisi raia!


JWTZ na POLISI mna ugomvi gani usioisha? sijawahi sikia viongozi wa Polisi au JWTZ wakiliongelea hili.
Frogi izi jampingi jampingi frogi, frogi izi baunsingi baunsingi frogi..... Its me Snura of Disasters
 
Kuna watu wana roho ngumu kwa utawala huu wa Magufuli unampiga polisi kama kutukanwa tu mtu kapanda cheo itakuwaje kwa kipigo, huyo mwanajeshi haipendi kazi.
 
Back
Top Bottom