JWTZ mpaka leo imeshindwa kuajiri wasomi wenye vipaji halisi, sababu hizi hapa...

kwa kuboresha jesh letu tufanye nini? au nini kifanyike?.coz wazalendo bado tupo na still tunalipenda jeshi letu.
 
Kazi ya mjeshi ni kumtambua adui, kumsogelea, kumuona na kumuua. Hizo masters zenu za LLB zinahitajika tu pale uwanja wa mapambano unaporuhusu kwamba hali ni shwari. Mikao ya kijeshi ni platuni, kombania, regiment, briged, divisheni, army na group ndani yake wanakuwepo makamanda na wapiganaji au maafisa na askari na sio maprofesa na laptop. Sasa kama mambo ndiyo hayo hizo masters za LLB haziwezi kuwa priority kwa kuwa hazijawahi kuua adui hata mmoja. Manyuklia, ma B-52, ma Foxbat, na armaents karibia zote zinatengenezwa na viwanda vya kiraia pia vfaru, deraya, mizinga, magari ya kivita. Wasomi wanaojisikia kinyaa kutambaa katika tope au kuswagwa na DS mwenye elimu ya darasa la saba anachoropolewa aende huko.
 
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.

2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.

3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.

4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.

5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?

Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.

Vipaji vya ukweli jeshini ni vile vinavyoweza kusurvive katika mazingira magumu na kuwa tayari hata kufa kwa ajili ya kuokoa wengi. Si vile vinavyohitaji utulivu na mazingira huru kufikiri. Vipaji maalum jeshini hufikiri kwa kasi ya ajabu kwenye mazingira magumu kweli kweli na kutoa maamuzi sahihi. Zaidi ya hapo, usitake kukimbilia jeshini kwa sababu ajira ngumu, nyie ndo mnaliharibu jeshi letu.
 
Kwa mtu mwenye shahada let say ya uchumi,anaweza kupangwa kwenye kitengo cha military inteligence?
 
Watu wanadhani mambo mepesi kiasi hicho. Na iyo mishahara mnayodanganyana ndio mnatiana mipovu. Sasa hivi wataalamu wenyewe wanazilia denge nafasi za JWTZ kupitia JKT. Sasa nyie subirini hadi mchoke. Watu wapo JKT then siku ya mwisho wameweka vyeti vyao hadi wajeda wenyewe wanapagawa.
 
allowansi 300,000/=,posho ya taaluma 250,000/-, salary 950,000/- by captain samiti mpigamsuli

Ala ivi kumbe..ngoja nitoke uku aisee niingie jeshini. Af kazimnapiga zinazoendana na mishahara au vp.
Na nini mtazamo wako..kwann polisi hawalipwi sawa na nyie..au magereza??!
 
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.

2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.

3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.

4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.

5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?

Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
Mkuu peleka majungu yako kulee kwenye vyama vinavyokufaa.
Nani kakwambia Geshi ni mahali pa wasomi, huko ni kwa watu wanaojitolea kwa harufu ya damu.

Uraiani kukikushinda usifikirie huko jeshini ndo mahali pa mteremko, mahali pa kuvalia suruali kifuani na machain shingoni.
Huko ni geshi bwana.
 
Vipaji vya ukweli jeshini ni vile vinavyoweza kusurvive katika mazingira magumu na kuwa tayari hata kufa kwa ajili ya kuokoa wengi. Si vile vinavyohitaji utulivu na mazingira huru kufikiri. Vipaji maalum jeshini hufikiri kwa kasi ya ajabu kwenye mazingira magumu kweli kweli na kutoa maamuzi sahihi. Zaidi ya hapo, usitake kukimbilia jeshini kwa sababu ajira ngumu, nyie ndo mnaliharibu jeshi letu.
Mkuu ume summarize, huyo jamaa anafikiri jeshini ni mahali pa siasa.
 
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.

2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.

3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.

4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.

5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?

Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
Yaani una Master ya Law halafu unaiita LLB?!!!!:A S angry:

Hao macheki bobu wanaofikiri jeshini ni mahali pa kupiga stori, kupiga mabomu na hata mahali pa kutambia mitaani hao.
Hawajui hata qualifications zao za kufoji.
 
inaonekana kama ulifukuzwa monduli...,

kwa kifupi, pamoja na kipaji ulichonacho nidhamu ndiyo pillar ya mafunzo yako,, jeshi ni nidhamu, period! Na nidhamu ndio inaleta ufanisi kwenye uwanja wa vita, unapotoa amri mfuasi akatumbukize hand grenade kwny kifaru cha adui, hatakiwi kujiuliza hata kwa sekunde moja.., na hii nidhamu inajengwa kwenye mafunzo, ndio maana jeshini kuna adhabu za kipuuzi kabisa,, mfano unaambiwa umwagilie maua wakati mvua inanyesha,,, ukileta mambo ya logic utaona kua mkufunzi wako ni mpuuzi hana akili,,,, lakn thts part of disciplining you,, ufanye ulichoamrishwa hata kama hupendi,, na hii sio kwa jwtz tu, proffesional armies zote wana namna mbalimbali ya kufundisha nidhamu..,

Kuhusu kuajiri vipaji,,, kwa hili nakubaliana na ww kabisa kwamba japo jeshi linaajiri wasomi na siku za karibuni wanaajiri kwa wingi zaidi, ila bado kuna upungufu mkubwa sana wa wasomi wa fani mbalimbali,, lakini pia tutambue jwtz ipo kwenye transition period,,, kuna individuals ambao hawapendi kabisa hawa watoto wasomi wanaingia na kutoka na manyota fasta,, resistance kwenye change lazima iwepo, ila in general jeshi limeamua liwe dogo na la kisomi na ndio maana kwa sasa hakuna std 7 anaajiriwa wote ni form four and above unless ni mwanamichezo au ana kipaji flani cha sanaa...,

Ukiondoa isolated incidents za wakufunzi wachache kuwachukia wasomi,,, wakuu ngazi za juu wanataka jeshi dogo la kisasa na la wasomi..., na pale monduli bana ukichukiwa na wakufunzi,,, chances za kumaliza ni ndogo sana,,,

Nawaasa watakaopita interview inayokuja hivi karibuni,, pale monduli jishushe,, ni yes sir, yes staff, hata kama task ulopewa logically doesnt make sense
Samahani mkuu sikufukuzwa Monduli wala sijawahi kujiunga JWTZ na wala sitegemei sababu naitaji kuishi kwa uhuru bila kushurutishwa. HAPA MADA NI KUWA MPAKA LEO TATIZO NI NINI? HOSPITAL MNATEGEMEA URAIANI TENA KWA KUNYANYASWA, WENGI WENU MKIJA HUKU MNADAI ETI LUGALO HAKUJITOSHELEZI SHIDA NINI KAMA SIO HUO UNDAVA WA TMA? H UWEZI AJILI MTAALAMU KWA KUMLAZIMISHA AU KUMSHURUTISHA LA SIVYO MTAENDELEA KUPATA WATU WASIO COMPTANT, KAMA HUYO ANAYETAKA KUJA NA MASTER YA LLB! SOMA HISTORY THE MOST SCIETIST WALIKUWA WANATULIA NDIO MAANA MAENDELEO YAMEKUWAPO. KINGINE HUKO KWENU KILAZA ANAPEWA KUONGOZA WATU NA AKILI ZAO KISA KATEULIWA NA MKUU AU KAPENDWA NA WAALIMU JE NI SAHIHI KUPATA RIGHT PERSON HAPO. HAMUWEZI FANYENI RESEARCH MJUE KAMA MKO SAHIHI. SISI TUPO NJE YA UWANJA TUNAWAONA NA TUNAJUA SHIDA ZENU HAMTAWEZA KWA NJIA HIZO.
 
Samahani mkuu sikufukuzwa Monduli wala sijawahi kujiunga JWTZ na wala sitegemei sababu naitaji kuishi kwa uhuru bila kushurutishwa. HAPA MADA NI KUWA MPAKA LEO TATIZO NI NINI? HOSPITAL MNATEGEMEA URAIANI TENA KWA KUNYANYASWA, WENGI WENU MKIJA HUKU MNADAI ETI LUGALO HAKUJITOSHELEZI SHIDA NINI KAMA SIO HUO UNDAVA WA TMA? H UWEZI AJILI MTAALAMU KWA KUMLAZIMISHA AU KUMSHURUTISHA LA SIVYO MTAENDELEA KUPATA WATU WASIO COMPTANT, KAMA HUYO ANAYETAKA KUJA NA MASTER YA LLB! SOMA HISTORY THE MOST SCIETIST WALIKUWA WANATULIA NDIO MAANA MAENDELEO YAMEKUWAPO. KINGINE HUKO KWENU KILAZA ANAPEWA KUONGOZA WATU NA AKILI ZAO KISA KATEULIWA NA MKUU AU KAPENDWA NA WAALIMU JE NI SAHIHI KUPATA RIGHT PERSON HAPO. HAMUWEZI FANYENI RESEARCH MJUE KAMA MKO SAHIHI. SISI TUPO NJE YA UWANJA TUNAWAONA NA TUNAJUA SHIDA ZENU HAMTAWEZA KWA NJIA HIZO.

Kwanza kabisa nasikitika sana kwa kauli zako za kipumbavu na za mtu asiyeelewa kile anachokizungumzia. Wewe uko nje ya mfumo wa kijeshi unafahamu nini kuhusu jeshi wewe? Hivi unajiona wewe ni bora kiasi gani kuliko wasomi walioko jeshini? Kweli mjinga atabaki mjinga tu hata kama akipitia chuo. Hizo kauli ulizozitoa zinadhalilisha taaluma yako. Jeshi ni mfumo unaojiendesha kwa utaratibu wake, na ndio maana mtu anakuwa tayari kukutana na adui ambaye hata kama wewe ungekuja na kipaji chako (cha kupiga majungu??) ungeishia kupoteza fahamu. Hiyo peke yake ni profession, ambayo ina mfumo wake. Sasa kama unafikiri kuwa na vipaji maalum ndio kufit jeshini, ni heri ukafunga domo lako na ukamwaga heshima kwa watu waliojitolea kukulinda mburura kama wewe. Si tu kwamba hufai jeshini, ni kwamba hata kwenye ajira binafsi hutofaa kwa vile huna nidhamu na pia uelewa wako ni mfinyu mno. A fool at his best!
 
Back
Top Bottom