Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.
2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.
3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.
4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.
5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?
Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
mapato ni zaidi ya 1,5,000,00/= nyota mbilihvi mshahara wa mtu mwenye shahada jeshni ni sh ngapi?
mapato ni zaidi ya 1,5,000,00/= nyota mbili
nikiwa kiatu we utakua "fyatu"Kweli kuna watu na viatu ! Wewe ni kiatu !
allowansi 300,000/=,posho ya taaluma 250,000/-, salary 950,000/- by captain samiti mpigamsuliNdivyo mnavyodanganyana au siyo!
allowansi 300,000/=,posho ya taaluma 250,000/-, salary 950,000/- by captain samiti mpigamsuli
Mkuu peleka majungu yako kulee kwenye vyama vinavyokufaa.Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.
2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.
3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.
4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.
5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?
Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
Mkuu ume summarize, huyo jamaa anafikiri jeshini ni mahali pa siasa.Vipaji vya ukweli jeshini ni vile vinavyoweza kusurvive katika mazingira magumu na kuwa tayari hata kufa kwa ajili ya kuokoa wengi. Si vile vinavyohitaji utulivu na mazingira huru kufikiri. Vipaji maalum jeshini hufikiri kwa kasi ya ajabu kwenye mazingira magumu kweli kweli na kutoa maamuzi sahihi. Zaidi ya hapo, usitake kukimbilia jeshini kwa sababu ajira ngumu, nyie ndo mnaliharibu jeshi letu.
Nina masters ya Law ( LLB) na natarajia kujiunga na JWTZ mwakani.
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.
2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.
3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.
4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.
5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?
Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
Yaani una Master ya Law halafu unaiita LLB?!!!!:A S angry:
nina masters ya law ( llb) na natarajia kujiunga na jwtz mwakani.
Samahani mkuu sikufukuzwa Monduli wala sijawahi kujiunga JWTZ na wala sitegemei sababu naitaji kuishi kwa uhuru bila kushurutishwa. HAPA MADA NI KUWA MPAKA LEO TATIZO NI NINI? HOSPITAL MNATEGEMEA URAIANI TENA KWA KUNYANYASWA, WENGI WENU MKIJA HUKU MNADAI ETI LUGALO HAKUJITOSHELEZI SHIDA NINI KAMA SIO HUO UNDAVA WA TMA? H UWEZI AJILI MTAALAMU KWA KUMLAZIMISHA AU KUMSHURUTISHA LA SIVYO MTAENDELEA KUPATA WATU WASIO COMPTANT, KAMA HUYO ANAYETAKA KUJA NA MASTER YA LLB! SOMA HISTORY THE MOST SCIETIST WALIKUWA WANATULIA NDIO MAANA MAENDELEO YAMEKUWAPO. KINGINE HUKO KWENU KILAZA ANAPEWA KUONGOZA WATU NA AKILI ZAO KISA KATEULIWA NA MKUU AU KAPENDWA NA WAALIMU JE NI SAHIHI KUPATA RIGHT PERSON HAPO. HAMUWEZI FANYENI RESEARCH MJUE KAMA MKO SAHIHI. SISI TUPO NJE YA UWANJA TUNAWAONA NA TUNAJUA SHIDA ZENU HAMTAWEZA KWA NJIA HIZO.inaonekana kama ulifukuzwa monduli...,
kwa kifupi, pamoja na kipaji ulichonacho nidhamu ndiyo pillar ya mafunzo yako,, jeshi ni nidhamu, period! Na nidhamu ndio inaleta ufanisi kwenye uwanja wa vita, unapotoa amri mfuasi akatumbukize hand grenade kwny kifaru cha adui, hatakiwi kujiuliza hata kwa sekunde moja.., na hii nidhamu inajengwa kwenye mafunzo, ndio maana jeshini kuna adhabu za kipuuzi kabisa,, mfano unaambiwa umwagilie maua wakati mvua inanyesha,,, ukileta mambo ya logic utaona kua mkufunzi wako ni mpuuzi hana akili,,,, lakn thts part of disciplining you,, ufanye ulichoamrishwa hata kama hupendi,, na hii sio kwa jwtz tu, proffesional armies zote wana namna mbalimbali ya kufundisha nidhamu..,
Kuhusu kuajiri vipaji,,, kwa hili nakubaliana na ww kabisa kwamba japo jeshi linaajiri wasomi na siku za karibuni wanaajiri kwa wingi zaidi, ila bado kuna upungufu mkubwa sana wa wasomi wa fani mbalimbali,, lakini pia tutambue jwtz ipo kwenye transition period,,, kuna individuals ambao hawapendi kabisa hawa watoto wasomi wanaingia na kutoka na manyota fasta,, resistance kwenye change lazima iwepo, ila in general jeshi limeamua liwe dogo na la kisomi na ndio maana kwa sasa hakuna std 7 anaajiriwa wote ni form four and above unless ni mwanamichezo au ana kipaji flani cha sanaa...,
Ukiondoa isolated incidents za wakufunzi wachache kuwachukia wasomi,,, wakuu ngazi za juu wanataka jeshi dogo la kisasa na la wasomi..., na pale monduli bana ukichukiwa na wakufunzi,,, chances za kumaliza ni ndogo sana,,,
Nawaasa watakaopita interview inayokuja hivi karibuni,, pale monduli jishushe,, ni yes sir, yes staff, hata kama task ulopewa logically doesnt make sense
Samahani mkuu sikufukuzwa Monduli wala sijawahi kujiunga JWTZ na wala sitegemei sababu naitaji kuishi kwa uhuru bila kushurutishwa. HAPA MADA NI KUWA MPAKA LEO TATIZO NI NINI? HOSPITAL MNATEGEMEA URAIANI TENA KWA KUNYANYASWA, WENGI WENU MKIJA HUKU MNADAI ETI LUGALO HAKUJITOSHELEZI SHIDA NINI KAMA SIO HUO UNDAVA WA TMA? H UWEZI AJILI MTAALAMU KWA KUMLAZIMISHA AU KUMSHURUTISHA LA SIVYO MTAENDELEA KUPATA WATU WASIO COMPTANT, KAMA HUYO ANAYETAKA KUJA NA MASTER YA LLB! SOMA HISTORY THE MOST SCIETIST WALIKUWA WANATULIA NDIO MAANA MAENDELEO YAMEKUWAPO. KINGINE HUKO KWENU KILAZA ANAPEWA KUONGOZA WATU NA AKILI ZAO KISA KATEULIWA NA MKUU AU KAPENDWA NA WAALIMU JE NI SAHIHI KUPATA RIGHT PERSON HAPO. HAMUWEZI FANYENI RESEARCH MJUE KAMA MKO SAHIHI. SISI TUPO NJE YA UWANJA TUNAWAONA NA TUNAJUA SHIDA ZENU HAMTAWEZA KWA NJIA HIZO.