roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,484
- 2,572
Ndio maana wakati ule walipotandikwa na adf niliselermbrate
Mi nakuunga mkono, sikupingiKwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Kufanana ni shida?Nani asiyeijua nguo ya jeshi?Tembea uone nchi zingine zikojeMkuu hakuna siasa hapo, unavaaje nguo inayofanana na ya jeshi?
Ukifanya uhuni lawama ziende jeshini..
Hili kundi wengi ni Iron Boy,unakuta hata mtoa tamko ni Iron boy.Unategemea nn?Yaani wanashindwa kudeal na mambo ya msingi wanaangaika na sare eti zimefanana na jeshi.Hapo huwa nawashangaa Sana hata viongozi WA Jeshini, ina maana kwamba hata hawajaona Hilo sio la msingi na kina Mambo meeengi ya msingi kuzingatiwa kuonyesha weledi wao not in this petty issue kama vimavamazi vifananavyo na sare zao.
Kuna muda inabidi matamko yanapotolewa na viongozi wajuu wajitafakari mara mbali, ukizingatia mpka umekuwa it means up na akili iliyojitosheleza on every aspects .
Only in 255
Tunaongelea Tanzania, jeshi haliigi nchi nyingineKufanana ni shida?Nani asiyeijua nguo ya jeshi?Tembea uone nchi zingine zikoje
Hujui jeshi wewe...hujawahi kulijuaHili kundi wengi ni Iron Boy,unakuta hata mtoa tamko ni Iron boy.Unategemea nn?Yaani wanashindwa kudeal na mambo ya msingi wanaangaika na sare eti zimefanana na jeshi.
Tanzania sio kisiwa,sheria yyt lzm ilete maana. Ebu lieleze jukwaa hiyo sheria ina manufaa gani kwa Jeshi na Taifa?Nikivaa nguo inayofanana na jeshi ni kosa,Kwa hoja zipi sana za msingi?Tunaongelea Tanzania, jeshi haliigi nchi nyingine
Kuna nchi huwezi kumuona mjeshi ovyo mtaani. Unakutana na Raia wamepiga nguo kama za jeshi lkn common sense tu inakwambia huyo sio mwanajeshi. Kwamba jeshi la hapa Tz likoje sana?Hujui jeshi wewe...hujawahi kulijua
Hiyo sababu haihalalishi huu ukatili wa kutesa mwananchi eti kisa wewe ni mwanajeshi, kama kweli wanataka hizo battle wakwende somalia huko wakakutane na maharamia waliopinda akili wapelekeane moto.Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Shangaa hata weweYaani mwanajeshi ampeleke raia polisi!!!
Jeshini wana polisi wao.
Sifa za kijinga tu na siungi mkono hiliKuna mambo ya ajabu sana yanafanyika hapa nchini...
Nenda kalinde mipakaPiga sana hao washenzi, ujuaji wa kijinga umezidi.
Unatuuliza maswali gani ya kijinga, huyo raia ni sheria ipi imemruhusu kuvaa nguo za jeshi?